Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,668
- 830,572
1. Awe na heshima
2. Asiwe mvivu
3. Asiwe mchoyo especially kwenye chakula hata vitu vingine pia.
awe mkarimu na mchamungu pia
1. Awe na heshima
2. Asiwe mvivu
3. Asiwe mchoyo especially kwenye chakula hata vitu vingine pia.
maswali yako mengi mno kikubwa ni kuwa kaamua mwenyewe kuwa nae mimi nauliza tu kufahamu huwezi jua ya Mungu mengi pengine namie ntajaaliwa huko! mimi wangu mjaluo
kwani ndugu ile taratibu ya kuwa na familia kubwa bado ipo hadi leo? hata kama mtu kasoma kaendelea?
Duh, wana haiba ya kufa mtu lakini waongo, matapeli kwa ujumla siyo waoaji, mimi mwanangu aliolewa usukumani cha moto alikiona, kapigishwa hadi matofali
Lakini wakarimu sana, ukiwa kwao ukiomba maji ya kunywa wanakupa buyu la maziwa
kwani ndugu ile taratibu ya kuwa na familia kubwa bado ipo hadi leo? hata kama mtu kasoma kaendelea?
hujanielewa namaanisha kuzaa watoto wengi!hivi kumbe ukisoma unaendelea na ukiendelea unazuia ndugu kuja kwako?
mengine muachie baba na mama!! ukijua yote utasumbukaUyo mjaluo kakuoa au kakuchumbia? kama kakuoa unataka kujaliwa nin tena?kama mchumba wako na unampenda kwann unaweza ukajaaliwa usukumani?
hujanielewa namaanisha kuzaa watoto wengi!
Sana wanajalii mnooo na wanayajua mapenzi usipimeee wangu simuachiii ng'ooooo
shemeji shemeji usisahau kumweleza huyo na ile story yako ya mfupa wa samaki itamsaidia.
awe mkarimu na mchamungu pia
mkuu, mimi nadhani tabia ya mtu hujengwa na yale anayoyasikia na kuyaona pindi anavyokua.. sasa huenda akawa ni msukuma kwa kuwa baba yake ni msukuma, lakini amezaliwa Dar halafu amekulia UK, huko Mwanza labda kafika mara chache tu na hata lugha ya kisukuma haijui.. huyu atakuwa na tabia za kisukuma kweli?
Mpe pole, wanaume wazuri kuliko wote ni wa Tanga tu. wanaume hovyo ni wasukuma, wahaya na wakurya: hawa hawajui kupenda. wanawafanya wake zao kama chombo, kifaa,mfugo au kitu kingine wanachokimiliki ndani ya nyumba. hivyo ajiandae kwa hilo
Dada yng nipo nimejaa tele!