MankaM
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 9,448
- 3,070
waongo , matapeli, sio waoaji, ahahahaaaaaaa ni kama kweli haya mamboooDuh, wana haiba ya kufa mtu lakini waongo, matapeli kwa ujumla siyo waoaji, mimi mwanangu aliolewa usukumani cha moto alikiona, kapigishwa hadi matofali
Lakini wakarimu sana, ukiwa kwao ukiomba maji ya kunywa wanakupa buyu la maziwa