CYBERTEQ
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 7,341
- 4,074
hujanielewa namaanisha kuzaa watoto wengi!
oh, sorry mkuu naona tafsiri ya "extended family" ina walakini kidogo.
hujanielewa namaanisha kuzaa watoto wengi!
yaaa kuzaa watoto wengi ni kawaida sana huko isangang`walugesha maana ukizaa tu watoto weupe 10 tayari wewe umeshatoka kwenye maisha ......mtaji wa msukuma ni nguvu za kiuno chake uko hapo shem.
Mkuu hiyo iko damuni kama mchaga na pesa,mgogo na kuomba omba,wazaramo na maneno mengi kama chiriku hata wangezaliwa kwenye sayari nyingine asili hawaachi.
hahahaha, unauwa mkuu, kati ya dada zangu sita hakuna aliyeolewa kwa ng'ombe chini ya sitini!
Sana wanajalii mnooo na wanayajua mapenzi usipimeee wangu simuachiii ng'ooooo
Mpe pole, wanaume wazuri kuliko wote ni wa Tanga tu. wanaume hovyo ni wasukuma, wahaya na wakurya: hawa hawajui kupenda. wanawafanya wake zao kama chombo, kifaa,mfugo au kitu kingine wanachokimiliki ndani ya nyumba. hivyo ajiandae kwa hilo
Wanapenda sn kula maboga, Wanawake wakitembea wanakata sn kiuno. Wanakula samaki mzima mzima bila kutafuna. Wakiende msalani hawatoki mapema mpaka wasikie umejikojolea nje wakati unasubiri ndo watoke. Kwa ujumla tabia zao ni nzuri sana hasa hilo la kukatalia chooni linanifurahisha sn. Ehee nimekumbuka mwambie mdogo wako awe tayari kutolewa kafara Gamboshi. Halafu kingineeeeee eheeee nimekumbuka wakilima lazima watoe halufu mbaya kwa nyuma kwa sababu wanatumia nguvu nyingi sana kuitikia kwa pamoja n.k n.kHabarini,
Natumaini mu wazima, leo hebu tugeukie kanda ya ziwa tupeane tabia za wasukuma. Mdogo wangu anatarajia kuolewa hivi karibuni na msukuma mmoja hivi, sasa naombeni mtusaidie kujua tabia zao. Kama kuna mila na akitakiwa kwenda ukweni usukumani inabidi afanye mambo gani kufanana nao ili wamfurahie?
Ni hayo tu ahsanteni.
Wasukuma ni nani na nani humu ndani?
Nawatafuta mjue!!!!
wengi sana.
Inabidi nijikombe uwifi si eti mrembo?
karibu sana
sie hatuna shida
we mweupe?
umejazia jazia huko nyuma?
Hahahahaaaaahahaaa uwiiii Wasukuma mna mambo nyie.
Nami nikiweka vigezo vyangu hapa hapatatosha wifi ujue?
mwallu
hapo sasa...kaka zangu kama wewe ni mweupe,na una zegembe nyuma la kutosha ...aaah hapo utapendwa,utatunzwa mpaka utasahau kwenu...we hutakiwi kuweka kigezo
Aah namimi nina mwanaume
wa ndoto yangu kabila tu halitoshi wii, mpaka nimuone kwanza huyo mume
labda tukionana tutazimiana huwezi jua.