Nyie ndo mlisema anashikiliwa kisha mkafulahiWakati tunaambiwa Sabaya anashikiliwa na TAKUKURU kwa mahijiano, binafsi ningependa kujua anashikiliwa katika mahabusu gani ?
Pili,napenda kuuliza kama sheria inaruhusu TAKUKURU kukamata watuhumiwa na pia kama sheria inawaruhusu kuwaweka ndani mahabusu.
Mwisho, hivi kuna vyombo vingine vya habari vinavyoripoti habari za Sabaya zaidi ya gazeti
la Rai Mwema?
Nina mashaka sana na mwenendo mzima wa hiki tunachoambiwa au kukisoma kuhusu Bwana Sabaya.
Kwani suala lako ninaangukia ktk mikono ya TAKUKURU?nadhani yupo kwenye mahabusu zao takukuru na hii ni kutokana na kukusanya taarifa ambazo wanazihitaji, ikifikia swala la kumfikisha mahakamani sasa ndio atarudi kwenye mahabusu hizi za kawaida.
mambo mengine ukiyaachia hazards kwa kuwa unafuata utaratibu unaweza usipate taarifa unayohitaji kufanyia kazi.
Raia Mwema ni ile timu ya Mtanzania ya enzi zile, wakimkamia mtu, wanakufa nae!. Ndio hawa walimsafishia njia JK kwa kumpaka matope Dr. SAS!. Sabaya kwisha habari yake!.Kuna chombo kingine kinachotoa taarifa za kukamatwa kwa Sabaya na tuhuma nyingine zinazomuhusu , tofauti na Raia mwema?
Na kama hakuna ,kwanini? hebu tutaisie Bro
alitumwa kubaka? ana ushahidi gani wa kutumwa?Naanza kuziona dalili za kuja kuambiwa Sabaya "amejinyonga" akiwa ndani ya cell.
Hii ni baada ya wakubwa kuona kuna kuaibika mbele ya safari kama Sabaya atakomaa kuwa alikuwa anatumwa na mwendazake na viongozi wengine wa chama ambao bado wako ndani ya utawala huu.
Nani atakubali hayo yasemwe hadharani?
Ni wajinga tu wanaamini kwamba Sabaya anaweza kukaa rumande siku zaidi ya mo
Achana naeWakati tunaambiwa Sabaya anashikiliwa na TAKUKURU kwa mahijiano, binafsi ningependa kujua anashikiliwa katika mahabusu gani ?
Pili,napenda kuuliza kama sheria inaruhusu TAKUKURU kukamata watuhumiwa na pia kama sheria inawaruhusu kuwaweka ndani mahabusu.
Mwisho, hivi kuna vyombo vingine vya habari vinavyoripoti habari za Sabaya zaidi ya gazeti
la Rai Mwema?
Nina mashaka sana na mwenendo mzima wa hiki tunachoambiwa au kukisoma kuhusu Bwana Sabaya.
Yupo kisongo pale vipWakati tunaambiwa Sabaya anashikiliwa na TAKUKURU kwa mahijiano, binafsi ningependa kujua anashikiliwa katika mahabusu gani ?
Pili,napenda kuuliza kama sheria inaruhusu TAKUKURU kukamata watuhumiwa na pia kama sheria inawaruhusu kuwaweka ndani mahabusu.
Mwisho, hivi kuna vyombo vingine vya habari vinavyoripoti habari za Sabaya zaidi ya gazeti
la Rai Mwema?
Nina mashaka sana na mwenendo mzima wa hiki tunachoambiwa au kukisoma kuhusu Bwana Sabaya.
Yaani Muhujumu Uchumi anapewa adhabu ya kusafisha vyo vya hospital! Ndiyo kufungwa huko!?Mramba na Daniel
Chalamila Yuko vizuri sana! Anajua kwenda na Mazingira ya kazi yake!!ndio mkuu lakini wewe unaifahamu kazi ya rc? mtu anaongoza mkoa mzima, je usamusikiliza chalamila akiongea, huyu hata mweyekiti wa nyumba kumi hasitahili kupewa, its not an issue ya kuwa mubaya, issue ni perfomance sir or ability to perform, chalamila cant do much
Tokea lini Takukuru wakawa na mahabusu zao za kuhifadhia watuhumiwa?nadhani yupo kwenye mahabusu zao takukuru na hii ni kutokana na kukusanya taarifa ambazo wanazihitaji, ikifikia swala la kumfikisha mahakamani sasa ndio atarudi kwenye mahabusu hizi za kawaida.
mambo mengine ukiyaachia hazards kwa kuwa unafuata utaratibu unaweza usipate taarifa unayohitaji kufanyia kazi.
Kwa hiyo mr Bolizozo yule mteule wa Rais ni muongo na mzushi? Kwa maana hiyo hata mteuzi naye hivyo hivyo?Ni wajinga tu wanaamini kwamba Sabaya anaweza kukaa rumande siku zaidi ya moja
Wakati tunaambiwa Sabaya anashikiliwa na TAKUKURU kwa mahijiano, binafsi ningependa kujua anashikiliwa katika mahabusu gani? Pili, napenda kuuliza kama sheria inaruhusu TAKUKURU kukamata watuhumiwa na pia kama sheria inawaruhusu kuwaweka ndani mahabusu.
Mwisho, hivi kuna vyombo vingine vya habari vinavyoripoti habari za Sabaya zaidi ya gazeti la Raia Mwema? Nina mashaka sana na mwenendo mzima wa hiki tunachoambiwa au kukisoma kuhusu Bwana Sabaya.
Kina dada wa Idara ya uhamasishaji huwa mnatetea kwa hali zoteNi wajinga tu wanaamini kwamba Sabaya anaweza kukaa rumande siku zaidi ya moja
Lengo lao lilikuwa sio kuhoji kusu ubakaji bali walimkamata kumhoji kuhusiana na tuhuma za rushwa ambazo watu wengi walifikisha malalamiko.Kisheria inaruhusiwa mbakaji kuwekwa Takukuru ?
Aksante kwa taarifa kaka😃.Raia Mwema ni ile timu ya Mtanzania ya enzi zile, wakimkamia mtu, wanakufa nae!. Ndio hawa walimsafishia njia JK kwa kumpaka matope Dr. SAS!. Sabaya kwisha habari yake!.
P