Naomba kujua Sabaya anashikiliwa katika mahabusu gani?

Wakati tunaambiwa Sabaya anashikiliwa na TAKUKURU kwa mahijiano, binafsi ningependa kujua anashikiliwa katika mahabusu gani ?

Pili,napenda kuuliza kama sheria inaruhusu TAKUKURU kukamata watuhumiwa na pia kama sheria inawaruhusu kuwaweka ndani mahabusu.

Mwisho, hivi kuna vyombo vingine vya habari vinavyoripoti habari za Sabaya zaidi ya gazeti
la Rai Mwema?

Nina mashaka sana na mwenendo mzima wa hiki tunachoambiwa au kukisoma kuhusu Bwana Sabaya.
Nyie ndo mlisema anashikiliwa kisha mkafulahi
Sasa ni wajibu wenu kutuambia anashikiliwa wapi
Au mguateni aliyesema anamshikia atawapa majibu
 
nadhani yupo kwenye mahabusu zao takukuru na hii ni kutokana na kukusanya taarifa ambazo wanazihitaji, ikifikia swala la kumfikisha mahakamani sasa ndio atarudi kwenye mahabusu hizi za kawaida.

mambo mengine ukiyaachia hazards kwa kuwa unafuata utaratibu unaweza usipate taarifa unayohitaji kufanyia kazi.
Kwani suala lako ninaangukia ktk mikono ya TAKUKURU?
 
Kuna chombo kingine kinachotoa taarifa za kukamatwa kwa Sabaya na tuhuma nyingine zinazomuhusu , tofauti na Raia mwema?
Na kama hakuna ,kwanini? hebu tutaisie Bro
Raia Mwema ni ile timu ya Mtanzania ya enzi zile, wakimkamia mtu, wanakufa nae!. Ndio hawa walimsafishia njia JK kwa kumpaka matope Dr. SAS!. Sabaya kwisha habari yake!.
P
 
Naanza kuziona dalili za kuja kuambiwa Sabaya "amejinyonga" akiwa ndani ya cell.
Hii ni baada ya wakubwa kuona kuna kuaibika mbele ya safari kama Sabaya atakomaa kuwa alikuwa anatumwa na mwendazake na viongozi wengine wa chama ambao bado wako ndani ya utawala huu.
Nani atakubali hayo yasemwe hadharani?
alitumwa kubaka? ana ushahidi gani wa kutumwa?
 
Wakati tunaambiwa Sabaya anashikiliwa na TAKUKURU kwa mahijiano, binafsi ningependa kujua anashikiliwa katika mahabusu gani ?

Pili,napenda kuuliza kama sheria inaruhusu TAKUKURU kukamata watuhumiwa na pia kama sheria inawaruhusu kuwaweka ndani mahabusu.

Mwisho, hivi kuna vyombo vingine vya habari vinavyoripoti habari za Sabaya zaidi ya gazeti
la Rai Mwema?

Nina mashaka sana na mwenendo mzima wa hiki tunachoambiwa au kukisoma kuhusu Bwana Sabaya.
Achana nae

Sent from my G80 using JamiiForums mobile app
 
Wakati tunaambiwa Sabaya anashikiliwa na TAKUKURU kwa mahijiano, binafsi ningependa kujua anashikiliwa katika mahabusu gani ?

Pili,napenda kuuliza kama sheria inaruhusu TAKUKURU kukamata watuhumiwa na pia kama sheria inawaruhusu kuwaweka ndani mahabusu.

Mwisho, hivi kuna vyombo vingine vya habari vinavyoripoti habari za Sabaya zaidi ya gazeti
la Rai Mwema?

Nina mashaka sana na mwenendo mzima wa hiki tunachoambiwa au kukisoma kuhusu Bwana Sabaya.
Yupo kisongo pale vip
 
ndio mkuu lakini wewe unaifahamu kazi ya rc? mtu anaongoza mkoa mzima, je usamusikiliza chalamila akiongea, huyu hata mweyekiti wa nyumba kumi hasitahili kupewa, its not an issue ya kuwa mubaya, issue ni perfomance sir or ability to perform, chalamila cant do much
Chalamila Yuko vizuri sana! Anajua kwenda na Mazingira ya kazi yake!!
 
Jana Boss mhusika akihojiwa na redio fulani alithibitisha kywa Sabaya anashikiliwa Ofisi za Upanga za taasisi hiyo pamoja na mabaonsa wake wanne walishikiwa Dar
 
nadhani yupo kwenye mahabusu zao takukuru na hii ni kutokana na kukusanya taarifa ambazo wanazihitaji, ikifikia swala la kumfikisha mahakamani sasa ndio atarudi kwenye mahabusu hizi za kawaida.

mambo mengine ukiyaachia hazards kwa kuwa unafuata utaratibu unaweza usipate taarifa unayohitaji kufanyia kazi.
Tokea lini Takukuru wakawa na mahabusu zao za kuhifadhia watuhumiwa?
 
Ni wajinga tu wanaamini kwamba Sabaya anaweza kukaa rumande siku zaidi ya moja
Kwa hiyo mr Bolizozo yule mteule wa Rais ni muongo na mzushi? Kwa maana hiyo hata mteuzi naye hivyo hivyo?
Kwa maana hiyo hata chama kilichompendekeza huyo mteuzi wa hovyo kitakuwa nacho cha hovyo na kijinga kanisa?
Asante sana kwa kuweka mambo sawa na kufanya sisi kujua kuwa chama kile ni cha kijinga maana kinafanya mambo ya kijinga huku wanachama wake na washabiki wakiunga mkono ujinga hivyo wao ndio kuwa wajinga wakubwa.
 
Wakati tunaambiwa Sabaya anashikiliwa na TAKUKURU kwa mahijiano, binafsi ningependa kujua anashikiliwa katika mahabusu gani? Pili, napenda kuuliza kama sheria inaruhusu TAKUKURU kukamata watuhumiwa na pia kama sheria inawaruhusu kuwaweka ndani mahabusu.

Mwisho, hivi kuna vyombo vingine vya habari vinavyoripoti habari za Sabaya zaidi ya gazeti la Raia Mwema? Nina mashaka sana na mwenendo mzima wa hiki tunachoambiwa au kukisoma kuhusu Bwana Sabaya.
IMG-20210602-WA0102.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo waacha atulie kwa sisi wakazi wa ARUSHA NA MOSHI tunamsifia sana Mama yetu SAMIA SULUHU HASSAN kweli Tanzania we are blessed kupata viongozi sahihi ..SABAYA ANAVUNA ALICHOPANDA KWA muda mrefu kaumiza watu sana ni muda wake kuonja sulubu sasa.....
2.TAKUKURU NI CHOMBO CHA ULINZI NA USALAMA NA WANAPOFANYA UCHUNGUZI WAO HAWAINGILIWI NI HAKI YAO KICHERIA KUMUWEKA MTU NDANI KWA UCHUNGUZI NA PIA KWA USALAMA WAKE.....
3.Kawekwa wapi kama ni ndugu yako waone wataku guide sio hapa JF
 
Kisheria inaruhusiwa mbakaji kuwekwa Takukuru ?
Lengo lao lilikuwa sio kuhoji kusu ubakaji bali walimkamata kumhoji kuhusiana na tuhuma za rushwa ambazo watu wengi walifikisha malalamiko.

Lakini katika mahojiano hayo ndio wakabaini na mengine mengi ikiwemo ubakaji, matumizi mabaya ya madaraka, pamoja na yote hayo.

Hivyo basi watu wa takukuru wakimaliza mahojiano yao ya kirushwa, watamkabidhi kwa jeshi la polisi ili wao kuendelea na uchunguzi wa tuhuma zilizotelewa dhiidi yake.
 
kulikuwa na DC mmoja anaitwa MEELA , alikuwa na roho mbaya kama sabaya, yaani katili , kiburi , sasa hivi limepotea kabisa ! naye alikuwa anadhani kwa kuwa na kiburi ndo ataonekana wa maana !
 
Back
Top Bottom