Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,372
Wakati tunaambiwa Sabaya anashikiliwa na TAKUKURU kwa mahojiano, binafsi ningependa kujua anashikiliwa katika mahabusu gani? Pili, napenda kuuliza kama sheria inaruhusu TAKUKURU kukamata watuhumiwa na pia kama sheria inawaruhusu kuwaweka ndani mahabusu.
Mwisho, hivi kuna vyombo vingine vya habari vinavyoripoti habari za Sabaya zaidi ya gazeti la Raia Mwema? Nina mashaka sana na mwenendo mzima wa hiki tunachoambiwa au kukisoma kuhusu Bwana Sabaya.
Mwisho, hivi kuna vyombo vingine vya habari vinavyoripoti habari za Sabaya zaidi ya gazeti la Raia Mwema? Nina mashaka sana na mwenendo mzima wa hiki tunachoambiwa au kukisoma kuhusu Bwana Sabaya.