Naomba kujua Sabaya anashikiliwa katika mahabusu gani?

Wakati tunaambiwa Sabaya anashikiliwa na TAKUKURU kwa mahojiano, binafsi ningependa kujua anashikiliwa katika mahabusu gani? Pili, napenda kuuliza kama sheria inaruhusu TAKUKURU kukamata watuhumiwa na pia kama sheria inawaruhusu kuwaweka ndani mahabusu.

Mwisho, hivi kuna vyombo vingine vya habari vinavyoripoti habari za Sabaya zaidi ya gazeti la Raia Mwema? Nina mashaka sana na mwenendo mzima wa hiki tunachoambiwa au kukisoma kuhusu Bwana Sabaya.

Mkuu unataka ujue mahabusu alipo ili uende kufanya kosa maeneo hayo ili ukamatwe uingizwe ndani ukutane naye uso kwa uso umnyongelee mbali..
 
Aksante kwa taarifa kaka😃.
Takukuru hutumia sero za polisi kuhifadhia watuhumiwa wao, huwahifadhi katika sero, na wanapo hitaji kuwahoji huenda kuwachukua, wakimaliza kuwahoji huwarudisha huko . Mpaka watakaporidhika wana ushahidi wa kumpeleka mahakamani ndipo hufungulia mashitaka.
 
Wakati tunaambiwa Sabaya anashikiliwa na TAKUKURU kwa mahojiano, binafsi ningependa kujua anashikiliwa katika mahabusu gani? Pili, napenda kuuliza kama sheria inaruhusu TAKUKURU kukamata watuhumiwa na pia kama sheria inawaruhusu kuwaweka ndani mahabusu.

Mwisho, hivi kuna vyombo vingine vya habari vinavyoripoti habari za Sabaya zaidi ya gazeti la Raia Mwema? Nina mashaka sana na mwenendo mzima wa hiki tunachoambiwa au kukisoma kuhusu Bwana Sabaya.


Mahabusu ya Upanga....
 
Katiba ya Tz ilivyo ni Hadi mahakama inaendeshwa na CCM maana rais ndo mwenye nguvu kwa kila kitu, huyo mwana CCM ingekua Takukuru au polisi haziingiliwi na Hawa wana siasa ambao wametengeneza katiba ya kujilinda wenyewe kwa wenyewe basi jamaa angewajibishwa haswa
Tatzo n moja huyo mkurugenz wa Takukuru anaweza kupata maelekezo kutoka kwa alie mteua kuwa kijana wao wa uvccm aachiwe asipelekwe mahakamani
Tulishaona kwa kina kangi lugola, nyalandu,na yule jamaa wa bandari
 
Wakati tunaambiwa Sabaya anashikiliwa na TAKUKURU kwa mahojiano, binafsi ningependa kujua anashikiliwa katika mahabusu gani? Pili, napenda kuuliza kama sheria inaruhusu TAKUKURU kukamata watuhumiwa na pia kama sheria inawaruhusu kuwaweka ndani mahabusu.

Mwisho, hivi kuna vyombo vingine vya habari vinavyoripoti habari za Sabaya zaidi ya gazeti la Raia Mwema? Nina mashaka sana na mwenendo mzima wa hiki tunachoambiwa au kukisoma kuhusu Bwana Sabaya.

Ka ingia cha kike ndugu yako! Na nikueleze tu, Yani kwa Mkutugenzy Hamduni? Haki bin haki, jamaa hataonewa, ila Kama kakosea hakutakuwa na Rehema!
 
Back
Top Bottom