tajiri tumbo kubwa
JF-Expert Member
- May 27, 2021
- 429
- 566
ndio mkuu lakini wewe unaifahamu kazi ya rc? mtu anaongoza mkoa mzima, je usamusikiliza chalamila akiongea, huyu hata mweyekiti wa nyumba kumi hasitahili kupewa, its not an issue ya kuwa mubaya, issue ni perfomance sir or ability to perform, chalamila cant do muchRC wa mbeya hakuwa na unyanyasaji kama wa Sabaya