Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,501
- 159,912
Hapo nimetaja watu wenye ndoa zao zinazopumua. Msaidieni mwenzenu 😂😂😂Unanisingizia tu wewe dada😅
Hapo nimetaja watu wenye ndoa zao zinazopumua. Msaidieni mwenzenu 😂😂😂Unanisingizia tu wewe dada😅
Kama unaitaji kutua mzigo ulobeba moyoni mwako pasipo kujali madhara yake,Basi mwambie tu ili upate amani.Nimempa ujauzito mwanamke mmoja wa kizungu mimba ina miezi kadhaa sasa ila anaishi nje ya canada mwanzo nilikuwa nataka aitoe tu akagoma lakini kadri muda unavyozidi kwenda naona namhitaji huyo mtoto aliye tumboni si vyema kumtelekeza sasa katika hilo ndio likaibuka suala la kumwambia mkewangu tu ukweli kwamba mwenzie mimi nishaharibu huko nje na natarajia mtoto mwingine sasa hali nayoisikia huku ndani ni tofauti sana.. atalibebaje atalikubali ? na baada ya kumwambia hali ya ndoa yetu itakuwaje ? kama itafikia kupeana talaka hali itakuwaje ndio maswali yanayonisumbua kwasasa mkuu
Mimi ni mkristo na nipo kwenye ndoa kwa muda wa miaka 8 na tumebarikiwa kuwa na watoto wawili sasa ila kuna jambo nililikosea kwa mkewangu na sasa nataka nimwambie ukweli kuhusu hilo sasa kutokana na uzoefu kumhusu kwa kaliba yake naona kabisa ataenda kukiwasha isivyo kawaida na kwa asilimia 89.6% anaweza kudai talaka (namuwazia tu kichwani).
Sasa kabla sijakubali atakachokidai naomba kufahamu kwa wale ambao mmeshapitia hii situation ya ndoa kuvunjika mpaka kupeana talaka.
Je, kuna madhara yoyote yanaweza kutokea kama mmekaa kwenye ndoa kwa muda mrefu kiasi hiki ukiachana na kugawana mali sijui nini?
Je, haya mambo ya kupeana talaka inaweza kuniletea shida ya kisaikolojia au kiroho nikakengeuka?
Mliopita kwenye hii situation naomba uzoefu wenu, nitashukuru sana kabla sijaaamua ..🙏
Mimi ni mkristo na nipo kwenye ndoa kwa muda wa miaka 8 na tumebarikiwa kuwa na watoto wawili sasa ila kuna jambo nililikosea kwa mkewangu na sasa nataka nimwambie ukweli kuhusu hilo sasa kutokana na uzoefu kumhusu kwa kaliba yake naona kabisa ataenda kukiwasha isivyo kawaida na kwa asilimia 89.6% anaweza kudai talaka (namuwazia tu kichwani).
Sasa kabla sijakubali atakachokidai naomba kufahamu kwa wale ambao mmeshapitia hii situation ya ndoa kuvunjika mpaka kupeana talaka.
Je, kuna madhara yoyote yanaweza kutokea kama mmekaa kwenye ndoa kwa muda mrefu kiasi hiki ukiachana na kugawana mali sijui nini?
Je, haya mambo ya kupeana talaka inaweza kuniletea shida ya kisaikolojia au kiroho nikakengeuka?
Mliopita kwenye hii situation naomba uzoefu wenu, nitashukuru sana kabla sijaaamua ..🙏
Kwann chief?Wewe mkorofi
🤣 Kwenye nini?Ndio maana unanikataa
Potezea utani tu mama🤣 Kwenye nini?
Mpe ushauri sasa mwenzio.Potezea utani tu mama
Child support.mkewangu ni mtumishi wa serikali hapa canada kwenye mambo ya women and Girls empowerment
🤦🤦🤦🤦Mtagawana tu mali na kuwapa shida watoto
Kama hakuna ulazima wa kumwambia usimwambie, we mwanaume umepewa koromeo litunze tu
Iseme hiyo siri, kuna wenye busara zao humu kina Mshana Jr ERoni Watu8 Glenn Heaven Sent watakupa ushauri mzuri wa a way foward.
Sina ushauri, hajasema sababu.Mpe ushauri sasa mwenzio.
Km anachapiwa na anajua aendelee kuvumilia piaMtagawana tu mali na kuwapa shida watoto
Kama hakuna ulazima wa kumwambia usimwambie, we mwanaume umepewa koromeo litunze tu
Je mkeo ni MTanzania au MCanada wa kizungu, na wewe umeshachukua uraia wa huko Canada ? ili upewe ushauri vizuri na wadau.mkewangu ni mtumishi wa serikali hapa canada kwenye mambo ya women and Girls empowerment
Kumbe ni jizi?Niliposoma uzi mwanzo kwa namna alivyoandika kwa vificho nilidhani labda jamaa kaamua kuwa choko...
Kumbe mwamba kaongeza familia na anakuwa muoga muoga...
Kitu pekee naweza muhakikishia ni kwamba ajiandae kumpoteza huyo mke wake wa miaka 8 ya ndoa...
Kumbe ni jizi?