Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 65,882
- 157,106
Kwanini muachaneAsante mkuu kwa husia nzuri ila umenizodoa but nashukuru.. thanks in advance
Kwanini muachaneAsante mkuu kwa husia nzuri ila umenizodoa but nashukuru.. thanks in advance
hapana mkuu namuelewa huyu mwanamke ana kaliba fulani hivi ambayo kiuhalisi lazima ataangukia kwenye kudai talaka labda Mungu amshukie apokee kosa langu na anisameheAcha kiherehere. Au ndio umemchoka sasa unatafuta sababu ya kuachana nae!!
Usivunje ndoa mkuu utajuta maisha yako yote.Asante mkuu kwa husia nzuri ila umenizodoa but nashukuru.. thanks in advance
Asante mkuu ushauri wako nimeuweka kwenye list tayari kuuchakata.. thanks in advanceMcanada
Kama kuna ishu inaweza haribu ndoa yako, nakushauri usimwambie mkeo. Tunza siri, sisi sote humu tuna siri zetu ila tumemeza pini.... Tupo kimyaaaa maisha yanasonga.
Sisi wanaume tuna siri nyingi sana, tunajua wenyewe na hatuvunji ndoa. Hata zikifahamika huko mbele tutakuwa tumeishafaulu kuzilea familia zetu kiasi kwamba madhara hayatakuwa makubwa kama tungezisema mapema.
Mimi huwa nawaza tu, nilivyo mkorofi na jinsi huyu mke wangu anavyonivumilia. Halafu leo niachane naye, then itokee nitafute mwingine nianze kumfundisha nilivyo hadi anielewe, naona huo muda sina tena mkuu.
Piga kimyaaaaa. Maisha yaendelee, ndoa ni tunu katika jamii za kiafrika. Usiivunje kwa kitu unachoweza kukizuia. Tunza siri.
Asante sana tate mkuu ushauri wako ni mzuri Mungu akubariki.. thanks in advanceYaani umekaa na mke wako wako kwenye ndoa kwa miaka 8! Mkabarikiwa na watoto 2! Bila shaka mtakuwa mnaishi kwenu!!
Halafu unakuja na porojo za aina gani tena!! Mbaya zaidi kwenye ndoa za Kikristo, ni kifo tu ndicho kinacho watenganisha!!
Aisee kama una mtoto wa nje ya ndoa, ni bora ukamtoa tu sadaka. Wajulishe wazazi wako/ndugu zako baadhi ili wamtambue kimya kimya. Ila usijaribu kuivunja ndoa yako kwa vitu vya kijinga.
Huyo mke uliye naye, leo hii unaweza ukamuona ni wa kawaida! Kwa sababu tu umemzoea. Ila siku asipokuwepo kabisa kwenye maisha yako, utataabika sana.
Nakushauri umpende na kumheshimu daima. Hapa duniani kuna wanawake wengi wazuri! Ila wife material, ni wachache sana.
Kumbe alioa shangazi karume. Bora akae kimya tuOhooo pagumu hapo.
Na sasa ndio umegundua kuwa ni lazima umwambie hilo kosa?hapana mkuu namuelewa huyu mwanamke ana kaliba fulani hivi ambayo kiuhalisi lazima ataangukia kwenye kudai talaka labda Mungu amshukie apokee kosa langu na anisamehe
mkuu Tata Mkuruia nimekuelewa sana.. thanks in advanceMcanada
Kama kuna ishu inaweza haribu ndoa yako, nakushauri usimwambie mkeo. Tunza siri, sisi sote humu tuna siri zetu ila tumemeza pini.... Tupo kimyaaaa maisha yanasonga.
Sisi wanaume tuna siri nyingi sana, tunajua wenyewe na hatuvunji ndoa. Hata zikifahamika huko mbele tutakuwa tumeishafaulu kuzilea familia zetu kiasi kwamba madhara hayatakuwa makubwa kama tungezisema mapema.
Mimi huwa nawaza tu, nilivyo mkorofi na jinsi huyu mke wangu anavyonivumilia. Halafu leo niachane naye, then itokee nitafute mwingine nianze kumfundisha nilivyo hadi anielewe, naona huo muda sina tena mkuu.
Piga kimyaaaaa. Maisha yaendelee, ndoa ni tunu katika jamii za kiafrika. Usiivunje kwa kitu unachoweza kukizuia. Tunza siri.
Nasikia hatia kubaki na hii siri bila yeye kujua kuna sauti inanisumbua nimwambie tu hata kama yatatokea ya kutokea ila sasa nikitazama mbele naona kuna mambo mengi yananiweka njia panda mkuu.. nakosa amani sina furaha kabisaNa sasa ndio umegundua kuwa ni lazima umwambie hilo kosa?
Nawahurumia watoto wako kwakweli.
Umeongea kitu Cha busara Sana.Tamaa,ubinafsi,elimu,kipato Ndo vinavuluga ndoa za watu wengi pasipo kujua wanahalibu kesho ya watoto.Yaani umekaa na mke wako wako kwenye ndoa kwa miaka 8! Mkabarikiwa na watoto 2! Bila shaka mtakuwa mnaishi kwenu!!
Halafu unakuja na porojo za aina gani tena!! Mbaya zaidi kwenye ndoa za Kikristo, ni kifo tu ndicho kinacho watenganisha!!
Aisee kama una mtoto wa nje ya ndoa, ni bora ukamtoa tu sadaka. Wajulishe wazazi wako/ndugu zako baadhi ili wamtambue kimya kimya. Ila usijaribu kuivunja ndoa yako kwa vitu vya kijinga.
Huyo mke uliye naye, leo hii unaweza ukamuona ni wa kawaida! Kwa sababu tu umemzoea. Ila siku asipokuwepo kabisa kwenye maisha yako, utataabika sana.
Nakushauri umpende na kumheshimu daima. Hapa duniani kuna wanawake wengi wazuri! Ila wife material, ni wachache sana.
Nimempa ujauzito mwanamke mmoja wa kizungu mimba ina miezi kadhaa sasa ila anaishi nje ya canada mwanzo nilikuwa nataka aitoe tu akagoma lakini kadri muda unavyozidi kwenda naona namhitaji huyo mtoto aliye tumboni si vyema kumtelekeza sasa katika hilo ndio likaibuka suala la kumwambia mkewangu tu ukweli kwamba mwenzie mimi nishaharibu huko nje na natarajia mtoto mwingine sasa hali nayoisikia huku ndani ni tofauti sana.. atalibebaje atalikubali ? na baada ya kumwambia hali ya ndoa yetu itakuwaje ? kama itafikia kupeana talaka hali itakuwaje ndio maswali yanayonisumbua kwasasa mkuuLabda ungesema hilo tatizo ili watu wapime njia nzuri ya wewe kuusafisha moyo kwa kusema ukweli
Watoto ndio hupata shida and yes itawatesa nyote kisaikolojia na hasa mwanaume hua rahisi sana kukengeuka,
Kama ni lazima sana kumwambia basi mtoe out, nendeni sehemu for a weekend just the two of you, spend a good time together, mkumbushe mlivyokutana, ups and downs, msifie alivyo mjasiri, mueleweshe bila yeye usingekua hapo, mjaze masifa hadi ajione Queen wa Dunia, kisha mwambie jambo lako kwa upole na hata akireact jaribu kua cool huku ukimplease acalm down ni changamoto, akilegea tu kula mate kama Fantana alivyokua anakula domo la Mondi, piga show ya kibabe hadi asiweze kutembea for 30 mnts, be romantic,
Imeisha hiyoooooooooooo
Iseme hiyo siri, kuna wenye busara zao humu kina Mshana Jr ERoni Watu8 Glenn Heaven Sent watakupa ushauri mzuri wa a way foward.Nasikia hatia kubaki na hii siri bila yeye kujua kuna sauti inanisumbua nimwambie tu hata kama yatatokea ya kutokea ila sasa nikitazama mbele naona kuna mambo mengi yananiweka njia panda mkuu.. nakosa amani sina furaha kabisa
Infidelity = DivorceNimempa ujauzito mwanamke mmoja wa kizungu mimba ina miezi kadhaa sasa ila anaishi nje ya canada mwanzo nilikuwa nataka aitoe tu akagoma lakini kadri muda unavyozidi kwenda naona namhitaji huyo mtoto aliye tumboni si vyema kumtelekeza sasa katika hilo ndio likaibuka suala la kumwambia mkewangu tu ukweli kwamba mwenzie mimi nishaharibu huko nje na natarajia mtoto mwingine sasa hali nayoisikia huku ndani ni tofauti sana.. atalibebaje atalikubali ? na baada ya kumwambia hali ya ndoa yetu itakuwaje ? kama itafikia kupeana talaka hali itakuwaje ndio maswali yanayonisumbua kwasasa mkuu
Wewe mkorofi