ndoa kuvunjika

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. H

    JamiiForums Tanzania Ili ndoa zidumu sheria ya ndoa itamke atakayesababisha ndoa kuvunjika asioe au kuolewa tena

    Tujitafakari! Ikiwa mtu akisababisha ajali au makosa lesni yake inafungwa ili kutoa nafasi ya kujirekebisha au kujutia umefika wakati sasa hata cheti cha ndoa kitambulike kama leseni mtu akisababisha ndoa kuvunjika kwa sababu zinazokera kama ugoni na kutelekeza ndoa basi afungiwe kuoa au...
  2. Papillon 1906

    JamiiForums Tanzania Jamii yatunyooshea vidole kisa kila ndoa inavunjika

    Hili tatizo limeota mizizi katika familia nimekuwa nikishuhudia ndugu zangu wakike hawaolewi na wakiolewa ndoa hazidumu. Nafikiri labda mizimu ya ukoo imekasirika au vipi lakini sio jambo la kawaida. Nimejaribu kuunganisha doti maana babu alimuoa bibi akiwa na miaka 70+ huko na baada ya ndoa...
  3. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania Kasi ya Ndoa Kuvunjika kupitia Talaka Inatisha-Yafikia asilimia 116% ,Serikali Yaomba Watu wa Dini,Wazazi na Wazee wa Mila Kuingilia Kati

    My Take Watu wanafunga ndoa harafu wanavunja ndoa Sasa nini maana ya kuchangisha watu? https://www.instagram.com/p/DZCeSLvCRhz/?igsh=ZnJ5Mml3Zzd6bmt2 Itungwe sheria ya lazima ============ Waziri wa Katiba na Sheria, Dk. Damas Ndumbaro amesema katika kipindi cha Julai, 2024 hadi Aprili, 2025...
  4. GoLC

    JamiiForums Tanzania Asilimia 50 ya ndoa zote huvunjika kwa jambo hili...

    Wakati fulani nimekuwa nikimtizama Joel Nanauka kwa upande hasi kwenye content zake ila sasa namuelewa. Joel kama umemsikiliza vizuri au kumsoma, hoja zake nyingi ni upande wa jamii inavyochukuliana, au vile mtu mmoja anavyomchukulia mwingine. Nyuma yake pakijaa chuki, uzandiki, roho mbaya, wivu...
  5. instinct desire

    JamiiForums Tanzania Karne ya sasa wanawake ndio wanaongoza kwa kuvunja ndoa bila kujali idadi ya watoto walionao

    Wanawake hawaheshimu taasisi ya ndoa Ile tabia ya uchumba huwa inayeyuka mpaka wanakuwa wanyama ndani ya ndoa zetu. Poleni sana wanandoa. Kupitia hili sisi wanaume tujue kwamba kumzalisha mke watoto wengi hakumfanyi mwanamke ajenga commitment zaidi kwenye ndoa,. Au kumpa zawadi ya gari/nyumba...
  6. Mr Why

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya ndugu wa wapenzi wetu na Wakwe ndio chanzo cha mahusiano na ndoa kuvunjika

    Baadhi ya ndugu na Wakwe wa wapenzi wetu ndiyo chanzo cha ndoa kuvunjika Maisha ya mapenzi na ndoa ni swala la faragha kati mume na mke Kawaida kwenye kuishi inatakiwa waishi wawili tu na watoto wao ili wawe na focus nzuri ya kujenga familia yao Inapotokea watu wa pembeni kuanza kuingilia...
  7. Setfree

    JamiiForums Tanzania Yajue mapepo yanayosababisha ndoa kuvunjika

    Ndoa ni agano takatifu linalomuunganisha mwanaume na mwanamke mbele za Mungu. Hata hivyo, ndoa nyingi zimevunjika au zimejaa migogoro mikubwa isiyoelezeka, kiasi cha kuwafanya wengine wafikirie kukataa ndoa. Matatizo ya ndoa wakati mwingine chanzo chake ni cha kiroho. Biblia inatufundisha kuwa...
  8. cold water

    JamiiForums Tanzania Niliachwa na baba mtoto wangu, kwa vimbwenga akaoa mke mwingine. Mambo yameharibika kwake anataka turudiane

    Jamani niliachwa na baba mtoto wangu,vimbwenga + vituko akaoa mke mwingine akawa anaishi nae hadi mwanamke akazaa nae saizi wameachana, analialia anataka turudiane Huku kwangu kumejaa hakuna nafasi Tena nabaki nacheka Sana na uyu single father nusu nipate depression huo mwaka 2020 Leo 2025...
  9. B

    JamiiForums Tanzania Namshukuru sana ex wangu kwa kukejeli maumbile yangu ya kiume tulipoachana. Kauli yake kwangu iligeuka na kuwa baraka kubwa sana kwangu

    Tukiwa tayari tumezaa wote watoto wawili wa kiume uchumi wangu ulidorora hali iliyo leta mgogoro ambao baadae ulipelekea kuachana. Watoto nilibaki nao Mimi nikawapeleka kwa mama yangu mzazi. Sababu? Siku ya tukio yalitokea majibizano akanimwagia uji wa moto, haukunijeruhi sana ila ulinipa makovu...
  10. kiss ov love

    JamiiForums Tanzania Aliniambia ana mtoto mmoja lakini baada ya kuwa naye kwenye mahusiano nimegundua ana watoto watano, nifanyeje?

    Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 25, nipo kwenye mahusiano na mwanaume mwenye miaka 45, tulianza mahusiano mwaka jana, mambo yalikuwa vizuri tu, alinieleza kuwa alizaa na huyo mwanamke akamsaliti kwahiyo wamebaki kulea mtoto. Sasa mwaka huu kuna siku nikaona amepost watoto status, watoto...
  11. Mkwawa mnyalukoro

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Nilimuacha mtoto kwa baba yake akiwa na miaka 6 je mahakama itanipa mtoto wangu

    Nilipata BWANA Nikaondoka kwa mume wangu bila kufukuzwa baada ya maisha kuwa magumu nikamwachia mtoto wa miaka minne basi mume akaniomba twende nikamkabidhi mtoto ustawi wa jamii. Tukaandikishana nikaondoka nikaenda kupanga ni mwaka sasa dah huku mtaan kwa moto nahtaji kurudi kwa mume wangu na...
  12. Binti wa zamani

    JamiiForums Tanzania Waliotajirika na pesa za talaka na kuvunjika kwa ndoa

    Ikiwa tayari umechuma mali zako kabla ya ndoa, ni muhimu kuzungumza na wanasheria kuhusu premarital assets zako. Tujikumbushe watu maarufu waliopoteza na kupata mali na utajiri baada ya talaka. WANAWAKE MacKenzie Scott (Jeff Bezos) - Talaka yenye fidia kubwa zaidi duniani: MacKenzie Scott...
  13. R

    JamiiForums Tanzania Kwa research niliyofanya, Ukioa mwanamke kwao ni first born na kalelewa na wazazi wote ni wife material na wavumilivu

    Haya mambo hayana formula lakini tunachoangalia ni pattern, wanawake wengi wa kundi hili kuna vitu vingi wanafanana kwenye maisha ya ndoa. Conditions: Kwao wawe wawili au zaidi, watoto wa baba moja mama moja Awe kalelewa na wazazi wote, sio baba na mama walifarakana Kutakuwa kuna...
  14. Manyanza

    JamiiForums Tanzania Jinsia ya kiume iko katika hatari kubwa

    Na Paul R.K Mashauri Kama wewe ni mfuatiliaji wa takwimu mbalimbali, utagundua kwamba, utafiti ndani na nje ya Tanzania unaonesha kwamba idadi ya ndoa zinazovunjika kila siku inazidi kuongezeka na sehemu kubwa ya wanaodai talaka ni wanawake. Utafiti pia unaonyesha, sababu inayoongoza kwa...
  15. R

    JamiiForums Tanzania Uongo wa ndugu yangu kipindi cha uchumba yagharimu ndoa Yake

    Habari Wana JF. Kuna ndugu yangu mmoja mtoto wa kwanza wa Baba mdogo wangu wa kike. Tulimuoza Mwaka Jana mwezi wa 1 ndoa kabisa ya kanisani. Aliolewa na kijana mmoja waliefahamiana chuoni. Sasa hii ishu mimi nimepata last week na mpaka sasa imeshindikana kusolve Tangu mwaka Jana. Wazee...
  16. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Baada ya Ndoa kuvunjika, sheria inasemaje hivi kuhusu matunzo ya mtoto?

    S/N MASWALI MAJIBU 1 Mtoto wa umri gani analazimika kisheria kubaki na mama pale wazazi wanapotengana au kuachana? Kwa mujibu wa sheria ya mtoto ya mwaka 2009 iliyofanyiwa marekebisho Mwaka 2019 kifungu cha 26 (1) (a), (b) (c) na (2) inaeleza kwamba endapo wazazi watatengana mtoto atakuwa na...
  17. G

    JamiiForums Tanzania Jinsi kanisa lilivyovunja ndoa ya binamu yangu na kumfuja mali za talaka, wanawake wanaoabudu manabii wa mchongo wamechotwa akili huwaambii kitu

    Ni kisa cha miaka 10 iliyopita lakini mhusika anapitia kipindi kigumu mpaka sasa Ilifikia kipindi anashinda sana kanisani mpaka anaacha watoto nyumbani, hapiki analipa kanisa kipaumbele, kuchukua pesa za savings kwajili ya zaka na sadaka za kitapeli, anaweza kesha kanisani, n.k. Mume wake...
  18. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Arusha: Mume avunja nyumba mtoto akiwa ndani, alimpa talaka mke

    Katika hali isiyo ya kawaida kutoka ya Wilaya ya Arumeru mkoa wa Arusha Mwanamke mmoja amelalamika kuvunjiwa nyumba aliyokuwa akiishi yeye pamoja na mtoto wake nyumba hiyo imevunjwa na aliyekuwa Mume wake, Baada ya kumpa talaka Mahakani. Mwanamke huyo anadai kwamba nyumba hiyo walijenga pamoja...
  19. Mr Why

    JamiiForums Tanzania Ukweli mchungu wa chanzo cha Mahusiano na Ndoa kuvunjika ni Wanawake kukataza Waume zao kuwa na Wanawake wengi

    Ukweli mchungu wa chanzo cha Mahusiano na Ndoa kuvunjika ni Wanawake kukataza Waume zao kuwa na Wanawake wengi bila kukumbuka kuwa Mwanaume anatulia na mke mmoja anapofikisha angalao miaka 60 hivyobasi namna ya kuenjoy mahusiano na ndoa zao wakubali waume zao kurusha risasi nje pia wasitake...
  20. realMamy

    JamiiForums Tanzania Ni wakati muafaka sasa wa kuwatumia wanasaikolojia na wanasheria Kanisani wakati wa mafundisho ya ndoa na hata kwa waumini wote kwa ujumla

    Ndugu,Jamaa na Marafiki kwa sasa kumekuwa na Wimbi kubwa la watu kukata tamaa na kuamua kukatisha maisha kutokana na sababu mbalimbali ikiwamo za kimahusiano,Ukosefu wa ajira, na mambo mengine kama hayo. Sasa kwa kuwa watu hawa wengi ni waumini wa Madhehebu mbalimbali ni muhimu sasa kanisani...
Back
Top Bottom