Wewe ndio umefeli tayari. Sasa akisema Bwana Yesu asifiwe sio udini huo?Anazo elements zote za udini kuzidi Marais wote waliowahi kutokea Tanzania. Sijawahi kumsikia akisema bwana yesu asifiwe yeye amebuni salama ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ili kukwepa kusema Bwana Yesu asifiwe . Tatizo ni katiba yetu inatufelisha.