Naomba kufahamishwa kuhusu Rais Samia kumtuma Hussein Mwinyi kumwakilisha nje ya nchi

Linguistic

JF-Expert Member
Mar 16, 2021
3,671
8,237
Kama kuna mtaalamu wa masuala ya Katiba ya JMT na Itifaki za Nchi ya Tanzania, naomba mwongozo.
Nataka kumuelewa Mama Samia ni mara ya 2 sasa anamtuma Hussein Mwinyi kumuwakilisha Rais wa JMT nje ya nchi.

Je, Rais wa Z'bar ni mtu wa ngapi kiitifaki katika serikali ya JMT?
Anapotumwa yeye, Makamu wa Rais anakuwa na udhuru au ni matakwa tu ya Rais wa JMT kumtuma yeyote kuiwakilisha nchi, yaani hata mimi naweza kutumwa kuiwakilisha nchi?
Hili swali nimeuliza nieleweni Tu.
 
Kwan zanzibar ipo chin kimamlaka kwa Tz bara mpaka rais wa zenji apewe amri na samia kufanya jambo fulani?? Kwaiyo rais wa zenji ni kama geresha tu ama muwakilish wa zanzibar na sio rais..majibu tafadhari
 
Usisahau huyo ni Rais, katiba yetu imempa madaraka makubwa sana. Pia ni Mzanzibari.

Kwa mtazamo wangu huenda anaangalia tija na madhumuni ya mkutano, hiyo inaamua nani ni mtu sahihi kuhudhuria na kuiwakilisha nchi yetu.

Rais wa Zanzibar ni mtanzania.
 
Kama kuna mtaalamu wa masuala ya Katiba ya JMT na Itifaki za Nchi ya Tanzania, naomba mwongozo.
Nataka kumuelewa Mama Samia ni mara ya 2 sasa anamtuma Hussein Mwinyi kumuwakilisha Rais wa JMT nje ya nchi.

Je, Rais wa Z'bar ni mtu wa ngapi kiitifaki katika serikali ya JMT?
Anapotumwa yeye, Makamu wa Rais anakuwa na udhuru au ni matakwa tu ya Rais wa JMT kumtuma yeyote kuiwakilisha nchi, yaani hata mimi naweza kutumwa kuiwakilisha nchi?
Hili swali nimeuliza nieleweni Tu.
Rais ana presidential decree ya kumteua YEYOTE kumwakilisha KOKOTE....

#KaziIendelee
 
Kwani fisiemu wanasema mwinyi ndo mrithi wa mama, basi acha ajipatie uzoefu....
Dr.Mwinyi anahitaji uzoefu upi tena?!!🤣🤣

Mtu amekuwa WAZIRI KATIKA WIZARA NYETI kwa muda mrefu huku akichagiza kazi zake na UADILIFU NA UTULIVU ALIONAO.....

Ila pamoja na yote sisi tuko na mh.Mwenyekiti SSH hadi 2030 panapo uhai na afya aaaamin🙏

#KaziIendelee
 
Kama kuna mtaalamu wa masuala ya Katiba ya JMT na Itifaki za Nchi ya Tanzania, naomba mwongozo.
Nataka kumuelewa Mama Samia ni mara ya 2 sasa anamtuma Hussein Mwinyi kumuwakilisha Rais wa JMT nje ya nchi.

Je, Rais wa Z'bar ni mtu wa ngapi kiitifaki katika serikali ya JMT?
Anapotumwa yeye, Makamu wa Rais anakuwa na udhuru au ni matakwa tu ya Rais wa JMT kumtuma yeyote kuiwakilisha nchi, yaani hata mimi naweza kutumwa kuiwakilisha nchi?
Hili swali nimeuliza nieleweni Tu.
Ni kama amemtuma Kenyatta au!?
 
Kama kuna mtaalamu wa masuala ya Katiba ya JMT na Itifaki za Nchi ya Tanzania, naomba mwongozo.
Nataka kumuelewa Mama Samia ni mara ya 2 sasa anamtuma Hussein Mwinyi kumuwakilisha Rais wa JMT nje ya nchi.

Je, Rais wa Z'bar ni mtu wa ngapi kiitifaki katika serikali ya JMT?
Anapotumwa yeye, Makamu wa Rais anakuwa na udhuru au ni matakwa tu ya Rais wa JMT kumtuma yeyote kuiwakilisha nchi, yaani hata mimi naweza kutumwa kuiwakilisha nchi?
Hili swali nimeuliza nieleweni Tu.
Anazo elements zote za udini kuzidi Marais wote waliowahi kutokea Tanzania. Sijawahi kumsikia akisema bwana yesu asifiwe yeye amebuni salama ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ili kukwepa kusema Bwana Yesu asifiwe . Tatizo ni katiba yetu inatufelisha.
 
Anazo elements zote za udini kuzidi Marais wote waliowahi kutokea Tanzania. Sijawahi kumsikia akisema bwana yesu asifiwe yeye amebuni salama ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ili kukwepa kusema Bwana Yesu asifiwe . Tatizo ni katiba yetu inatufelisha.
Duh,

Sasa atakuja kuwa anaombaje kura sasa huko ndani ndani kabisa kwa wenyewe
 
Kama kuna mtaalamu wa masuala ya Katiba ya JMT na Itifaki za Nchi ya Tanzania, naomba mwongozo.
Nataka kumuelewa Mama Samia ni mara ya 2 sasa anamtuma Hussein Mwinyi kumuwakilisha Rais wa JMT nje ya nchi.

Je, Rais wa Z'bar ni mtu wa ngapi kiitifaki katika serikali ya JMT?
Anapotumwa yeye, Makamu wa Rais anakuwa na udhuru au ni matakwa tu ya Rais wa JMT kumtuma yeyote kuiwakilisha nchi, yaani hata mimi naweza kutumwa kuiwakilisha nchi?
Hili swali nimeuliza nieleweni Tu.
Utumwe nje ya nchi unacheo gani serikalini?
 
Anazo elements zote za udini kuzidi Marais wote waliowahi kutokea Tanzania. Sijawahi kumsikia akisema bwana yesu asifiwe yeye amebuni salama ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ili kukwepa kusema Bwana Yesu asifiwe . Tatizo ni katiba yetu inatufelisha.
Muwe mnaacha kuhamasisha na kuchochea maswala ya udini kwa rais wetu kuna tatizo gani hapo kuwasalimia kwa jina la jamhuri kila kitu kwenu ni udini udini tuakisema au asipo sema wewe unapungukiwa nini
 
Anazo elements zote za udini kuzidi Marais wote waliowahi kutokea Tanzania. Sijawahi kumsikia akisema bwana yesu asifiwe yeye amebuni salama ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ili kukwepa kusema Bwana Yesu asifiwe . Tatizo ni katiba yetu inatufelisha.
Kwani ni lazima aseme bwana yesu asifiwe? Saalam aliyobuni ni mujaribu kabisa maana haiegemei upande wowote.
 
Kwani ni lazima aseme bwana yesu asifiwe? Saalam aliyobuni ni mujaribu kabisa maana haiegemei upande wowote.
Hata Nyere hakuwahi kusema VWAAYESUASUFIWE.
Wakioleta salamu hizi ni wanasiasa wajinga.

Katiba ya nchi yetu haina Dini.
Nahaya mambo ya kuwaalika viongozi wa dini eti watie dua sijuwi maombi nayo lzm tuachane nayo.

Nchi haiongozwi kwa maombi bali kwa sera na mipamgo.
Maombi wapeleke kanisani
 
Kama kuna mtaalamu wa masuala ya Katiba ya JMT na Itifaki za Nchi ya Tanzania, naomba mwongozo.
Nataka kumuelewa Mama Samia ni mara ya 2 sasa anamtuma Hussein Mwinyi kumuwakilisha Rais wa JMT nje ya nchi.

Je, Rais wa Z'bar ni mtu wa ngapi kiitifaki katika serikali ya JMT?
Anapotumwa yeye, Makamu wa Rais anakuwa na udhuru au ni matakwa tu ya Rais wa JMT kumtuma yeyote kuiwakilisha nchi, yaani hata mimi naweza kutumwa kuiwakilisha nchi?
Hili swali nimeuliza nieleweni Tu.
Kwa Katiba tuliyo nayo anauwezo wakuteua Mtu yoyote kumuwakilisha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom