Naomba faida ya Kauli za Majigambo za Wasemaji wa Simba na Yanga katika Maendeleo ya Soka Tanzania

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Apr 2, 2015
8,011
16,748
Ali Kamwe (Msemaji Yanga SC)

Siku ya Wananchi (Yanga Day) Taifa litatulia na Watu hawatoamini kwani tunaenda Kumtambulisha Mchezaji ambaye atawafanya Watu fulani Walie, Wasiamini na Wengine hata kutamani Bora Wafe tu.kuliko Kumshuhudia huyo Mchezaji akicheza Yanga SC.

Ahmed Ally (Msemaji Simba SC)

Tumeshatambulisha Vyuma Vitatu tayari ila kuna Vyuma vingine Vinne Balaa na kuna Mmoja atafanya Umeme uzimike nchi nzima huku Watu fulani wakitafuta kwa Kujificha kwani tunaenda kupiga pale pale tena kwenye Maumivu baada ya Kuwapora Bonge la Mchezaji Uwanja wa Ndege JNIA wakiwa Wamezubaa tu sehemu za Mapokezi na Kumkosa mazima.

Je, na Wasemaji wa Liverpool FC, Manchester United FC, PSG, Real Madrid na Barcelona FC nao huwa na huu Upumbavu na Ushamba?
 
Ali Kamwe (Msemaji Yanga SC)

Siku ya Wananchi (Yanga Day) Taifa litatulia na Watu hawatoamini kwani tunaenda Kumtambulisha Mchezaji ambaye atawafanya Watu fulani Walie, Wasiamini na Wengine hata kutamani Bora Wafe tu.kuliko Kumshuhudia huyo Mchezaji akicheza Yanga SC.

Ahmed Ally (Msemaji Simba SC)

Tumeshatambulisha Vyuma Vitatu tayari ila kuna Vyuma vingine Vinne Balaa na kuna Mmoja atafanya Umeme uzimike nchi nzima huku Watu fulani wakitafuta kwa Kujificha kwani tunaenda kupiga pale pale tena kwenye Maumivu baada ya Kuwapora Bonge la Mchezaji Uwanja wa Ndege JNIA wakiwa Wamezubaa tu sehemu za Mapokezi na Kumkosa mazima.

Je, na Wasemaji wa Liverpool FC, Manchester United FC, PSG, Real Madrid na Barcelona FC nao huwa na huu Upumbavu na Ushamba?
Samahani nimechelewa kuona Uzi wako Mkuu. Lakini siwezi kupita bila kukupa maua yako.
Kila ninapouliza faida ya ulimbukeni huo huwa najibiwa na wahafidhina wa kabumbu kwamba hili ni soka Lao Kinyaovyao. Kwamba hata hao Manchester na Liverpool wanatamani wawe na Wasemaji kama Ally Kamwe na Ahmed Ally.
 
Ali Kamwe (Msemaji Yanga SC)

Siku ya Wananchi (Yanga Day) Taifa litatulia na Watu hawatoamini kwani tunaenda Kumtambulisha Mchezaji ambaye atawafanya Watu fulani Walie, Wasiamini na Wengine hata kutamani Bora Wafe tu.kuliko Kumshuhudia huyo Mchezaji akicheza Yanga SC.

Ahmed Ally (Msemaji Simba SC)

Tumeshatambulisha Vyuma Vitatu tayari ila kuna Vyuma vingine Vinne Balaa na kuna Mmoja atafanya Umeme uzimike nchi nzima huku Watu fulani wakitafuta kwa Kujificha kwani tunaenda kupiga pale pale tena kwenye Maumivu baada ya Kuwapora Bonge la Mchezaji Uwanja wa Ndege JNIA wakiwa Wamezubaa tu sehemu za Mapokezi na Kumkosa mazima.

Je, na Wasemaji wa Liverpool FC, Manchester United FC, PSG, Real Madrid na Barcelona FC nao huwa na huu Upumbavu na Ushamba?
ni mind game na propaganda

Sent from my CPH2371 using JamiiForums mobile app
 
Ali Kamwe (Msemaji Yanga SC)

Siku ya Wananchi (Yanga Day) Taifa litatulia na Watu hawatoamini kwani tunaenda Kumtambulisha Mchezaji ambaye atawafanya Watu fulani Walie, Wasiamini na Wengine hata kutamani Bora Wafe tu.kuliko Kumshuhudia huyo Mchezaji akicheza Yanga SC.

Ahmed Ally (Msemaji Simba SC)

Tumeshatambulisha Vyuma Vitatu tayari ila kuna Vyuma vingine Vinne Balaa na kuna Mmoja atafanya Umeme uzimike nchi nzima huku Watu fulani wakitafuta kwa Kujificha kwani tunaenda kupiga pale pale tena kwenye Maumivu baada ya Kuwapora Bonge la Mchezaji Uwanja wa Ndege JNIA wakiwa Wamezubaa tu sehemu za Mapokezi na Kumkosa mazima.

Je, na Wasemaji wa Liverpool FC, Manchester United FC, PSG, Real Madrid na Barcelona FC nao huwa na huu Upumbavu na Ushamba?
Hatuwezi kufanana kila kitu, huo ni utamaduni wa soka letu. Siyo kila kitu lazima mliganishe na Ulaya au Amerika.
Waarabu wana utamaduni wa kuwasha mafataki uwanjani, Wasouth Afrika kupuliza mavuvuzela, sisi utamaduni wetu ni kucharuana kwa maneno.
 
Hatuwezi kufanana kila kitu, huo ni utamaduni wa soka letu. Siyo kila kitu lazima mliganishe na Ulaya au Amerika.
Waarabu wana utamaduni wa kuwasha mafataki uwanjani, Wasouth Afrika kupuliza mavuvuzela, sisi utamaduni wetu ni kucharuana kwa maneno.
hizi timu ni za Wazaramo sisi kuzishabikia ni kihere here chetu.
 
Back
Top Bottom