GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,646
- 109,031
Ukiachia mbali kwa Mwenyekiti wa Simba SC Murtaza Mangungu kuwa ni mwana Yanga SC kwani hata miaka ya nyuma alishakuwa Mwenyekiti wa Pan African FC GENTAMYCINE nimehakikishiwa tena na Ndugu Mmoja na Majirani kuwa hata Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally ni mwana Yanga SC lia lia.
Kwa Kitendo cha Haji Manara kwenda Yanga SC, aliyekuwa CEO wa Simba SC Barbara Gonzalez kuhusishwa kutaka kuhamia Yanga SC, Mwenyekiti wa Wanachama Simba SC Murtaza Mangungu na Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally nathubutu Kukiri wazi hapa JamiiForums kuwa Simba SC ni Mabingwa wa Umafia ila Yanga SC ni Mabingwa wa Ujasusi na wanaujua na kutujulia mno wana Simba SC.
Taratibu sasa naanza Kuamini Kauli ya Haji Manara (aliyekuwa Msemaji wa Simba SC) aliposema tena kwa Kujiamini kabisa kuwa Yanga SC itakuwa Bingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania kwa miaka Kumi ( 10 ) mfululizo.
Pia GENTAMYCINE sasa nimeelewa ni kwanini Uongozi wa Simba SC tokea Mwezi February mwaka huu (2023) ilipanga Kumfuta Kazi Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally baada ya Kiongozi Mmoja (namhifadhi) kusema ni Kirusi (akimaanisha ni mwana Yanga SC) ila Mwekezaji wa Simba SC Mo Dewji akakataa asiondolewe akiamini ni mwana Simba SC wakati tayari 75% ya Viongozi Waandamizi wa Simba SC wanajua kuwa ni Kirusi na Kitatugharimu Simba SC hata kama tunajipanga na Kujidhatiti kwa Usajili mkubwa na mzuri.
Kwa Kitendo cha Haji Manara kwenda Yanga SC, aliyekuwa CEO wa Simba SC Barbara Gonzalez kuhusishwa kutaka kuhamia Yanga SC, Mwenyekiti wa Wanachama Simba SC Murtaza Mangungu na Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally nathubutu Kukiri wazi hapa JamiiForums kuwa Simba SC ni Mabingwa wa Umafia ila Yanga SC ni Mabingwa wa Ujasusi na wanaujua na kutujulia mno wana Simba SC.
Taratibu sasa naanza Kuamini Kauli ya Haji Manara (aliyekuwa Msemaji wa Simba SC) aliposema tena kwa Kujiamini kabisa kuwa Yanga SC itakuwa Bingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania kwa miaka Kumi ( 10 ) mfululizo.
Pia GENTAMYCINE sasa nimeelewa ni kwanini Uongozi wa Simba SC tokea Mwezi February mwaka huu (2023) ilipanga Kumfuta Kazi Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally baada ya Kiongozi Mmoja (namhifadhi) kusema ni Kirusi (akimaanisha ni mwana Yanga SC) ila Mwekezaji wa Simba SC Mo Dewji akakataa asiondolewe akiamini ni mwana Simba SC wakati tayari 75% ya Viongozi Waandamizi wa Simba SC wanajua kuwa ni Kirusi na Kitatugharimu Simba SC hata kama tunajipanga na Kujidhatiti kwa Usajili mkubwa na mzuri.