Waziri wa Sanaa na Michezo aombe msamaha mashabiki wa Soka la Tanzania na Kutengua kauli yake kabla ya 29/03/2024

incredible terminator

JF-Expert Member
Aug 1, 2016
2,229
3,525
Nimeona Jana kauli ya Waziri kuwa hataruhusiwa Mtanzania kuingia uwanjani na jezi ya Team ambayo siyo ya Tanzania, Mfano Mtanzania anaeishabikia team ya Mamelod hataruhusiwa kwenda kushuhudia team yake Ikicheza na Yanga eti kisa uzalendo,

Kwenye michezo hasa ngazi ya vilabu hakuna sheria ya uzalendo, mtu anaruhusiwa kushabikia team yoyote ile ambao anahisi ndio inamfurahisha kama tungekuwa na ushabiki wa Inchi kwenye vilabu basi soka la china ndio lingekuwa na mashabiki wengi kama tutatumia kigezo cha utaifa katika soka ngazi ya vilabu kwa kuzingatia wingi wa wanainchi wa China.

Wito wangu ni kwamba viongozi wetu kabla hawajatoa matamko waweze kutafakari kwa kina, Lakini pia je Waziri wa sanaa na Michezo anaijua soka? Anajua maana ya ushabiki? Je alishawahi kuwa shabiki?

Hutuwezi kulazimishana katika uhuru wa kufurahi, kitendo cha kuingilia uhuru wa mtu aipende Team gani kwa sababu tu ya Utaifa ni kuingilia uhuru wa wanainchi na kuingilia taratibu za soka na hata kupoteza mvuto wa ligi ya Tanzania kwani huu upinzani na utani ndio umepelekea vilabu vya Tanzania kutambua thaman yao na kufanya vizuri zaidi.

Nimedhamilia mimi ni shabiki wa mamelodi na nitaingia kuangalia mpira nikiwa na Jezi ya Team yangu pendwa iwapo nitazuiliwa kuingia uwanjani kutokana na sheria iliyowekwa na serikali, Mimi pamoja na mashabiki wenzangu tutaenda kutafta haki yetu CAF na tutareport kunyimwa haki kuingia uwanjani,

Tupo tayari kuriport CAF kwa kuwa sisi wanasoka tunatambua CAF ndio chombo cha kutetea na kutatua changamoto za kimchezo wala sio Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania,

Namkumbusha waziri kiwa vipo vingi sana vya kuzingatia katika kutukuza uzalendo kama vile kupambana na Rushwa, uvujaji wa mali za umma, Utii wa viongozi maofisini na makazini, kupunguza tozo na mfumuko wa Bei, Maadili na kulinda utamaduni wa Mtanzania, huo ndio uzalendo, ila sio katika soka, soka ni sehem ya burudani, starehe kwa hiyo mtu ana haki ya kuchagua kipi chakumstamstaresha na kumburudisha, Mpira hauna uzalendo, maana kuna watu hata mpira hawaujui ila likija swala la uzalendo ni wazalendo haswa.

Tanzania Amka! Tunapoelekea naona soka la Tanzania linaenda kupigwa burn. Kwa uhuru wa maamzi ya mtu mmoja ambae hafaham soka.
 
Tunakoelekea ni Huku
Screenshot_20240320-134848.png
 
Kama swala ni uzalendo tukumbuke kuwa katika vilabu kuna wachezaji wanacheza ambao sio watanzania, wanacheza kwa sababu wameajiliwa na wanafanya hivyo kama kitu kinachowapa furaha(pesa) kama kwenye vilabu kuna wazalendo na uzalendo vipi kuhusu wachezaji wa kigeni wanaochezea team hizi? Nao watacheza kizalendo au watacheza kama akina nani?

Suala hili sio dogo na ni swala la kushangaza sana.
 
Kama swala ni uzalendo tukumbuke kuwa katika vilabu kuna wachezaji wanacheza ambao sio watanzania, wanacheza kwa sababu wameajiliwa na wanafanya hivyo kama kitu kinachowapa furaha(pesa) kama kwenye vilabu kuna wazalendo na uzalendo vipi kuhusu wachezaji wa kigeni wanaochezea team hizi? Nao watacheza kizalendo au watacheza kama akina nani?

Suala hili sio dogo na ni swala la kushangaza sana.
Hii hoja niliileta kipindi kile wameanza kutoa pesa za magoli ya mama nikasema siyo sawa, kuna wachezaji wa kigeni hapo. Leo hii wanataka kujimilikisha hivi vilabu. Siku zote nimekuwa nasema serikali inaonea donge nguvu na ushawishi wa Simba na Yanga ndiyo maana Taifa Stars ikionekana kama inafanya vizuri wanapataga mihemko ya kupitiliza.

Katika mashindano ya CAF ngazi ya vilabu hausikii hata siku moja wakicheza nyimbo za taifa kabla ya mechi kuanza na nakumbuka hata kwenye uzinduzi wa AFL zilipeperushwa bendera za vilabu na si za mataifa yanapotoka hivyo vilabu.
 
Nimeona Jana kauli ya Waziri kuwa hataruhusiwa Mtanzania kuingia uwanjani na jezi ya Team ambayo siyo ya Tanzania, Mfano Mtanzania anaeishabikia team ya Mamelod hataruhusiwa kwenda kushuhudia team yake Ikicheza na Yanga eti kisa uzalendo,

Kwenye michezo hasa ngazi ya vilabu hakuna sheria ya uzalendo, mtu anaruhusiwa kushabikia team yoyote ile ambao anahisi ndio inamfurahisha kama tungekuwa na ushabiki wa Inchi kwenye vilabu basi soka la china ndio lingekuwa na mashabiki wengi kama tutatumia kigezo cha utaifa katika soka ngazi ya vilabu kwa kuzingatia wingi wa wanainchi wa China.

Wito wangu ni kwamba viongozi wetu kabla hawajatoa matamko waweze kutafakari kwa kina, Lakini pia je Waziri wa sanaa na Michezo anaijua soka? Anajua maana ya ushabiki? Je alishawahi kuwa shabiki?

Hutuwezi kulazimishana katika uhuru wa kufurahi, kitendo cha kuingilia uhuru wa mtu aipende Team gani kwa sababu tu ya Utaifa ni kuingilia uhuru wa wanainchi na kuingilia taratibu za soka na hata kupoteza mvuto wa ligi ya Tanzania kwani huu upinzani na utani ndio umepelekea vilabu vya Tanzania kutambua thaman yao na kufanya vizuri zaidi.

Nimedhamilia mimi ni shabiki wa mamelodi na nitaingia kuangalia mpira nikiwa na Jezi ya Team yangu pendwa iwapo nitazuiliwa kuingia uwanjani kutokana na sheria iliyowekwa na serikali, Mimi pamoja na mashabiki wenzangu tutaenda kutafta haki yetu CAF na tutareport kunyimwa haki kuingia uwanjani,

Tupo tayari kuriport CAF kwa kuwa sisi wanasoka tunatambua CAF ndio chombo cha kutetea na kutatua changamoto za kimchezo wala sio Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania,

Namkumbusha waziri kiwa vipo vingi sana vya kuzingatia katika kutukuza uzalendo kama vile kupambana na Rushwa, uvujaji wa mali za umma, Utii wa viongozi maofisini na makazini, kupunguza tozo na mfumuko wa Bei, Maadili na kulinda utamaduni wa Mtanzania, huo ndio uzalendo, ila sio katika soka, soka ni sehem ya burudani, starehe kwa hiyo mtu ana haki ya kuchagua kipi chakumstamstaresha na kumburudisha, Mpira hauna uzalendo, maana kuna watu hata mpira hawaujui ila likija swala la uzalendo ni wazalendo haswa.

Tanzania Amka! Tunapoelekea naona soka la Tanzania linaenda kupigwa burn. Kwa uhuru wa maamzi ya mtu mmoja ambae hafaham soka.
Risala ndefuu, halafu yote ni 💨 tu. Yaani mijitu mizima na akili zenu mnalilia vitu vya kipuuzi!

Kwani msipovaa hizo jezi au kuwashangilia hao wageni, mtapungukiwa nini? Kama siyo ujinga tu unaowasumbua
 
Nimeona Jana kauli ya Waziri kuwa hataruhusiwa Mtanzania kuingia uwanjani na jezi ya Team ambayo siyo ya Tanzania, Mfano Mtanzania anaeishabikia team ya Mamelod hataruhusiwa kwenda kushuhudia team yake Ikicheza na Yanga eti kisa uzalendo,

Kwenye michezo hasa ngazi ya vilabu hakuna sheria ya uzalendo, mtu anaruhusiwa kushabikia team yoyote ile ambao anahisi ndio inamfurahisha kama tungekuwa na ushabiki wa Inchi kwenye vilabu basi soka la china ndio lingekuwa na mashabiki wengi kama tutatumia kigezo cha utaifa katika soka ngazi ya vilabu kwa kuzingatia wingi wa wanainchi wa China.

Wito wangu ni kwamba viongozi wetu kabla hawajatoa matamko waweze kutafakari kwa kina, Lakini pia je Waziri wa sanaa na Michezo anaijua soka? Anajua maana ya ushabiki? Je alishawahi kuwa shabiki?

Hutuwezi kulazimishana katika uhuru wa kufurahi, kitendo cha kuingilia uhuru wa mtu aipende Team gani kwa sababu tu ya Utaifa ni kuingilia uhuru wa wanainchi na kuingilia taratibu za soka na hata kupoteza mvuto wa ligi ya Tanzania kwani huu upinzani na utani ndio umepelekea vilabu vya Tanzania kutambua thaman yao na kufanya vizuri zaidi.

Nimedhamilia mimi ni shabiki wa mamelodi na nitaingia kuangalia mpira nikiwa na Jezi ya Team yangu pendwa iwapo nitazuiliwa kuingia uwanjani kutokana na sheria iliyowekwa na serikali, Mimi pamoja na mashabiki wenzangu tutaenda kutafta haki yetu CAF na tutareport kunyimwa haki kuingia uwanjani,

Tupo tayari kuriport CAF kwa kuwa sisi wanasoka tunatambua CAF ndio chombo cha kutetea na kutatua changamoto za kimchezo wala sio Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania,

Namkumbusha waziri kiwa vipo vingi sana vya kuzingatia katika kutukuza uzalendo kama vile kupambana na Rushwa, uvujaji wa mali za umma, Utii wa viongozi maofisini na makazini, kupunguza tozo na mfumuko wa Bei, Maadili na kulinda utamaduni wa Mtanzania, huo ndio uzalendo, ila sio katika soka, soka ni sehem ya burudani, starehe kwa hiyo mtu ana haki ya kuchagua kipi chakumstamstaresha na kumburudisha, Mpira hauna uzalendo, maana kuna watu hata mpira hawaujui ila likija swala la uzalendo ni wazalendo haswa.

Tanzania Amka! Tunapoelekea naona soka la Tanzania linaenda kupigwa burn. Kwa uhuru wa maamzi ya mtu mmoja ambae hafaham soka.
Waziri anatafuta ban ya FIFA kwa kuingiza siasa katika michezo.
 
Hii hoja niliileta kipindi kile wameanza kutoa pesa za magoli ya mama nikasema siyo sawa, kuna wachezaji wa kigeni hapo. Leo hii wanataka kujimilikisha hivi vilabu. Siku zote nimekuwa nasema serikali inaonea donge nguvu na ushawishi wa Simba na Yanga ndiyo maana Taifa Stars ikionekana kama inafanya vizuri wanapataga mihemko ya kupitiliza.

Katika mashindano ya CAF ngazi ya vilabu hausikii hata siku moja wakicheza nyimbo za taifa kabla ya mechi kuanza na nakumbuka hata kwenye uzinduzi wa AFL zilipeperushwa bendera za vilabu na si za mataifa yanapotoka hivyo vilabu.
Ila kumbuka hii pesa ya serikali haitolewi kwa wachezaji bali vinapewa vilabu vyetu.
 
Back
Top Bottom