HII NI PICHA YA SAA MBILI USIKU?Tukio hilo nimelishuhudia mwenyewe na mhanga nimemuona kwa macho yangu. Sikuweza kumpiga picha
Mhanga alipatwa na zahama hilo sana 2 jana, amelala hivo na leo asubuhi ndo kubweka wazi. Watu ndo wakaanza kujaa.HII NI PICHA YA SAA MBILI USIKU?
Ngoja nimcheki jamaa yangu yupo town hapoMhanga alipatwa na zahama hilo sana 2 jana, amelala hivo na leo asubuhi ndo kubweka wazi. Watu ndo wakaanza kujaa.
Kama kuna mtu yeyote humu ana ndugu, RAFIKI au jamaa anaeishi Nansio Ukerewe basi awasiliane nae amuulize
Weka hata picha ya hayo macho yako yaliyomuonaTukio hilo nimelishuhudia mwenyewe na mhanga nimemuona kwa macho yangu. Sikuweza kumpiga picha
Ngoja nimcheki jamaa yangu yupo town hapo
----
Jamaa kathibitisha, ni kweli jamaa mkono umegoma kujikunja yani umenyooka tangu alivyo rusha jiwe.
Ila la kubweka sio kweli
Pia jamaa anasema anahisi ni mchezo tu ili atokee mganga ajifanye kamtibu alafu raia waanze kupigwa pesa na mganga.
Tusipoondokana na huu ujinga tusahau kabisa kuhusu maendeleo.
Maendeleo ya karne hii ni sayansi na teknolojia, hivyo kama tumeshajikatia tamaa na kujiona ni wa kubaki kusindikiza wengine hapa Duniani basi hayo ndio ya kushadadia.
Huyo Majeruhi mpelekeni Hospitali na x ray itawapa majibu huenda ame "strech' mkono wakati anarusha jiwe...au hata huenda alizaliwa na ulemavu huo na ameamua kuwaokota maana anajua huwa hamna ziada ya kufikiria zaidi ya kile mnachoambiwa.