Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,471
- 23,744
Tupate habari kamili. Katika jambo ambalo limeonesha kushangaza baadhi ya watu na wenyeji kutoshangaa sana ni tukio la kisayansi ambalo limetokea baada ya mtoto mmoja kurusha jiwe kwa mbwa na hatimaye mkono huo kuganda.
Tukio hilo limetoka Katika Kijiji cha Nansio Wilaya ya Ukere Mkoa wa Mara Nchi ya Tanzania,Ukanda wa Afrika Mashariki, Bara la Afrika, Sayari ya Dunia. Ama kweli ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni.
Tukio hilo limetoka Katika Kijiji cha Nansio Wilaya ya Ukere Mkoa wa Mara Nchi ya Tanzania,Ukanda wa Afrika Mashariki, Bara la Afrika, Sayari ya Dunia. Ama kweli ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni.