Nani kama Mama Vs Nani kama Baba

Nani kama Mama Vs Nani kama Baba

Thanks Asha kwenye hii useful post.
Hapo kwenye red.........Haimpasi baba kupewa heshima hiyo ya NANI KAMA BABA?


Asprinn hapo kwenye red in kweli panampa haki kusema nani kama baba, tatizo linakuja katika maybe baba 10 labda wawili ndo wanafanya wajibu wao, but watoto hao kumi wote watakua salama ili mradi mama awakuze na waweze kujitegemea... In other words ni kua baba ni muhimu saana but si lazima... Hata kiutafiti imeoneshwa kua kuna tofauti kati ya mtoto alolelewa kwa mapenzi mama kuliko asie lelewa na mapenzi ya mama.
 
Wote ni walezi wa familia lakini ilionekana ivo sababu mama ndiye aliyekuwa karibu na watoto, sikuzote na baba alikuwa mtafutaji chochote kihusucho familia na malezi ya watoto mama ndiye aliyehusika sana na ndio maana hata mtoto alipoharibika mama ndiye aliyelumiwa bila kujali alipitia mangapi.
baba alikuwa wa kuhakikisha chakula kipo,ada na mahitaji mengine na hata akipotea wiki nzima yeye anachojua aikute familia inaendelea vizuri na kwa baadhi majukumu yalikuwa tofauti wote watafutaji na bado mama alihitajika kuwa karibu ili watoto wakue katika misingi ipasayo.

Lakini siku izi maisha yamebadilika na huu msemo nguvu yake unaelekea kwisha imebaki mazoea tu ya maneno tuliyozoea kusema.

Safi sana
Mama hana mbadala na pengo la Baba nalo halizibiki.
Nani kama Mama
Hakuna kama Baba (Lizzy unapaswa ukubali tu, huna utetezi wa kweli hapa)
Mi naamini bila baba yangu hata kufungua JF nisingeweza, neno la Mungu lingenipiga chenga, uanaume wangu usingekuwa makin kama sasa
Bila mama ningekuwa na afya mgogoro, nisingejua kujitunza, nisingejua kujali na kupenda wengine
 
Asha D,
Nimependa sana jinsi ulivyomwaga utetezi wako hapa,
lakini kikubwa nachogundua hapa kwa mawazo yako,
na ya akina dada wengine hapa JF,
NI KATIKA UZAZI, yaani kubeba mimba, kunyonyesha nk.
ndipo ambapo mama anaonekana yeye ndo yeye na hakuna mwingine,
lakini hebu tujiulize, maisha yanajidhihirisha katika phase hiyo tu?
mbona mnasahau hatua zingine za maisha baada ya kuwepo tumboni kwa miezi 9,
kunyonya n.k.?

Pili, kama ndo hivyo, je wale akina dada wanaotupa watoto chooni, vichakani nao tuwaite NANI KAMA MAMA?
Je, wale akina mama wanaokaa na watoto wa kufikia na kila kutwa wanawatesa kwa mateso ambayo hata JEHANAMU unaweza usiyakute, je nao tuwaite NANI KAMA MAMA?

ASANTE,
NANI KAMA MUNGU?


Bacha sijawatupia mbali akina baba ndo maana nimeelezea nafasi zao kwa upande wa mtoto... Personally katika jamii tunayoishi naona akina mama wana nafasi kubwa kwa watoto wao na pia wana play part kubwa sana. Wajane ni wengi mno wanalea watoto bila msaada wowote baada ya baba zao kufa na wengi wenye interest ni wale ambao maybe marehemu alikua na mali na wanataka wachukue nafasi za guardian.

Mabinti ambao ni single parents ni wengi mno, wacha wale walobakwa, wacha wale walitongozwa wakafikikri wamefika, wacha wale ambao mwanaume kaona responsibilities zimemzidi bora akimbie, acha wale wanaachwa sababa tu kimada kawalisha uchafu, acha wale wanaobeba mimba za waume za watu in the hope awe na nafasi kwa huyo bwana...... Matokeo ni mengi ya kusikitisha ambayo wanaume usababishia kupatikana kwa mtoto lakini asiwepo... Lakini Mungu si athumani hao watoto wanazaliwa, wanakua na dunia inaendelea but kwa kudra za mamake na mwenyezi Mungu.

Sisemi wanaume hawafai kua baba...LAH! Wanafaa saaana hasa pale anapokua willing kwamba you are the woman he wants and he is ready for the family, but si vingine.

Kwa mtazamo na ukweli huo inabidi mkubali kua nani kama mama.....
 
Asprinn hapo kwenye red in kweli panampa haki kusema nani kama baba, tatizo linakuja katika maybe baba 10 labda wawili ndo wanafanya wajibu wao, but watoto hao kumi wote watakua salama ili mradi mama awakuze na waweze kujitegemea... In other words ni kua baba ni muhimu saana but si lazima... Hata kiutafiti imeoneshwa kua kuna tofauti kati ya mtoto alolelewa kwa mapenzi mama kuliko asie lelewa na mapenzi ya mama.

Hapa nakataa
Chauro kasema wazi wazi, bila kutafuna maneno kwamba kwa maisha ya sasa huu msemo wa HAKUNA KAMA MAMA umechuja sana nguvu tofauti na zamani.
Baba akifa utambadili na mwanaume gani???? Kama huwezi kujibu hili basi kubali tu kwamba HAKUNA KAMA BABA
Mama nae akifa utambadili na mwanamke gani??? Basi nae hakuna kama Mama.
Huu ndio ukweli, wala tusitake kupunguza ulazima wa uwepo wa baba.

Asha D,
Kukubali kusema HAKUNA KAMA BABA hakupunguzi sifa ya HAKUNA KAMA MAMA.
Kubali tu kwamba Baba nae hana mbadala.
Usipambanishe Baba na Mama.
 
Hapa nakataa
Chauro kasema wazi wazi, bila kutafuna maneno kwamba kwa maisha ya sasa huu msemo wa HAKUNA KAMA MAMA umechuja sana nguvu tofauti na zamani.
Baba akifa utambadili na mwanaume gani???? Kama huwezi kujibu hili basi kubali tu kwamba HAKUNA KAMA BABA
Mama nae akifa utambadili na mwanamke gani??? Basi nae hakuna kama Mama.
Huu ndio ukweli, wala tusitake kupunguza ulazima wa uwepo wa baba.

Asha D,
Kukubali kusema HAKUNA KAMA BABA hakupunguzi sifa ya HAKUNA KAMA MAMA.
Kubali tu kwamba Baba nae hana mbadala.
Usipambanishe Baba na Mama.


I know CPU, but wababa wangapi wanaplay hiyo part ipasavyo ?? Ndio kweli saizi imekua nafuu lakini inamaana hayo niloeleza hio post ya mwisho kuhusu single parents akina mama nimeongopa? Nakubaliana na Chauro kwa zile familia ambazo zimebahatika kua na wazazi wote but ukweli ni kwamba wababa wengi hawaplay part yao ukifananisha na akina mama.
 
I know CPU, but wababa wangapi wanaplay hiyo part ipasavyo ?? Ndio kweli saizi imekua nafuu lakini inamaana hayo niloeleza hio post ya mwisho kuhusu single parents akina mama nimeongopa? Nakubaliana na Chauro kwa zile familia ambazo zimebahatika kua na wazazi wote but ukweli ni kwamba wababa wengi hawaplay part yao ukifananisha na akina mama.

Kama unafahamu kuna wababa hawa-play party yao, basi fahamu kwamba siku hizi wapo tena wengi hata akina mama ambao hawa-play part zao ktk familia.

Isitoshe hata kama tukichukulia unavyosema wewe kwamba wababa wawili tu kati ya kumi ndio wanawajibika, bado huwezi kusema kwa vile hao wawili ni wachache basi hata nafasi zao zinazibika au SI LAZIMA (kama ulivyotamka hapo juu). Utaziba na nini nafasi zao??? (Hili ndio swali ambalo mpaka sasa mnashindwa kujibu)
 
.......Kweli hakuna kama mama, ila vile vile hakuna kama baba, mie nawapenda wazazi wangu wote kwa sababu wote wamechangia kuwepo kwangu mie hadi leo hii naona raha ya dunia. Bila wao mie leo nisingekuwepo........wote walichukua majukumu ya kunilea na kunitengenezea maisha yangu kuwa bora.

Ila sasa mimi kama mwanamke na mzazi vile vile nasema hivi acheni mama aitwe mama......mwanamke ndio anajukumu kubwa sana kwa mtoto ndio maana ukaja huo usemi" NANI KAMA MAMA".
 
Kama unafahamu kuna wababa hawa-play party yao, basi fahamu kwamba siku hizi wapo tena wengi hata akina mama ambao hawa-play part zao ktk familia.

Isitoshe hata kama tukichukulia unavyosema wewe kwamba wababa wawili tu kati ya kumi ndio wanawajibika, bado huwezi kusema kwa vile hao wawili ni wachache basi hata nafasi zao zinazibika au SI LAZIMA (kama ulivyotamka hapo juu). Utaziba na nini nafasi zao??? (Hili ndio swali ambalo mpaka sasa mnashindwa kujibu)


Naona umenishinda katika hilo nimeshindwa kuji defend - so I surrender....

Kitu napenda ujue ni kua while growing up nilikua nampenda sana baba (may he rest in peace) yangu kuliko hata mom - yaani literally he was my true bff... but I never really understood my mom and I always thought she hated me which fortunately was no true but my confused little mind of being young and a teenager. I have grown up; and when I look back I know if my mom would have died and remained with my dad I would have been lost and my future possibly bleak. Please do not misunderstand me for I still suffer from the pain of losing him (mpaka leo I can not stand misibas) and he is still the man I have loved ever because with him I was always me.

It has taken me years to understand my mother... But I do thank God the Almighty that I have realized her potential and her strong willed heart before I had lost her too. From my personal experience its the conclusion I still draw.. Nani kama mama....
 
Logic ni kwamba hata mali yoyote inayopatikana kwa uchungu,tabu,jasho na mahangaiko mengi,pindi inapopatikana hutunzwa kwa uangalifu na kupewa uthamini wa hali ya juu na ndo maana watoto hutapanya hovyo mali ya baba kwa sababu hawaujui uchungu wa kupatikana ile mali.Kwa akina mama ni hivyo hivyo,wanabeba mimba na kupata mahangaiko na matatizo mengi mno.Na ukifika muda wa kujifungua wanajifungua kwa uchungu na maumivu makali.Ni ile fact ya kwamba,'huyu mtoto mpaka kuzaliwa kwake,nimepata shida na taabu nyingi sana,sikubali matunda ya mahangaiko yangu yapotee bure',hapo ndipo upendo unapoanzia.Akina mama wangekuwa wanabeba ujauzito kwa raha na kujifungua kwa raha mustarehe,wasingelikuwa na upendo mkubwa tunaouna kwao,ungekuwa upendo wa kawaida kabisa.Nadhani mmeshawahi kukutana na nesi ambaye hajabahatika kupata mtoto anavyokuwa katili kutibu watoto.Kwa hiyo ni(mahangaiko,uchungu,matatizo,shida) zinazaa upendo wa kimama,wanawake si asili yao kuwa na upendo na ndo maana wanawake hawapendi watoto wa wenzao kwa sababu hawakupata uchungu wa kuwazaa,kalamu chini!
 
Ah ha! Kwa hiyo hii blanket generalization ya nani kama mama haihuuuu. Ni vyema kuangalia kila situation on a case by case basis.

Kuna wengine tumefanya yote ukiondoa kunyonyesha kwa nyonyo. Tumenyonyesha kwa vyupa. Kuna kina mama wengine siku hawanyonyeshi kwa nyonyo. Ni chupa tu.

Tumebadilisha dirty diapers. Doctor visits hatukukosa. Tumekesha sana usiku. Si unajua watoto walivyo? Wengine usiku hawalali. Some of us have done it all and we still don’t get appreciated by some people.
I’m glad my Princess appreciates me and knows for a fact I’m irreplaceable.

Mhhhh! Kabisa NN kuna Wanaume wengi tu wanayafanya yote hayo kwa watoto wao ukiondoa kunyonyesha kwa nyonyo
 
Babu kenda wapi aje afanye hitimisho? Wameshakubali hoja wote

Baba anamfanya mama asimame aweze kulea watoto kwa ukaribu.......pia baba analea watoto....
Katika sumaku....ni ncha ipi muhimu zaidi?
Kama ilivyo hakuna kama mama...na hakuna kama baba....
ODM hebu funga hii kitu..
Nyie watu wawili hapo juu, Hii thread inafungwa kwa msimamo wa babu katika post hii hapa chini.
Kwahiyo ishu hapa ni kutojenerolaiz siyo?

Kwama si kina mama wote wana sifa ya NANI KAMA MAMA
Na siyo wanaume wote hawana sifa NANI KAMA BABA.

Sawa si sawa?
Na mdogo wangu akamalizia kwa muktadha wa hoja maridhawa kabisa hapa chini
Hapa nakataa
Chauro kasema wazi wazi, bila kutafuna maneno kwamba kwa maisha ya sasa huu msemo wa HAKUNA KAMA MAMA umechuja sana nguvu tofauti na zamani.
Baba akifa utambadili na mwanaume gani???? Kama huwezi kujibu hili basi kubali tu kwamba HAKUNA KAMA BABA
Mama nae akifa utambadili na mwanamke gani??? Basi nae hakuna kama Mama.
Huu ndio ukweli, wala tusitake kupunguza ulazima wa uwepo wa baba.

Asha D,
Kukubali kusema HAKUNA KAMA BABA hakupunguzi sifa ya HAKUNA KAMA MAMA.
Kubali tu kwamba Baba nae hana mbadala.
Usipambanishe Baba na Mama.

Konklusheni ni kwamba.

Hakuna kama WAZAZI bila kujalisha jinsia zao.

Tuwapende, tuwaheshimu na tuwatunze wazazi wetu.

HAKUNA KAMA MAMA......... sawa kabisa, lakini je NI NANI KAMA BABA? Hakuna!
 
hakuna
baba na mama
bila babu na bibi
na bila mama na baba
nisingekuwa mimi
P.J
 
hakuna
baba na mama
bila babu na bibi
na bila mama na baba
nisingekuwa mimi
P.J

Ulikuwa wapi mpenzi wangu?

Ungekuwa wa kwanza kuchangia, isingefika mbali huku.....UMENENA VEMA kama Barak Obama.
 
Ukiondoa kukumiss, babu hajambo sana.

Matatizo gani hayo mbona humwambii babu? Nani kama babu?

hakuna kama babu
babu ni babu
bila babu bibi
asingeitwa bibi ..
na bila babu bibi
asingefurahi

hahahahahh lol

matatizo ni mazito mazito kidogo mmmhhhh
 
hakuna kama babu
babu ni babu
bila babu bibi
asingeitwa bibi ..
na bila babu bibi
asingefurahi

hahahahahh lol

matatizo ni mazito mazito kidogo mmmhhhh

Hakuna matatizo mazito kwa babu....kama una ujauzito we sema tu....

Nani kama mtia ujauzito? Hakuna kama mtiwa ujauzito.
 
Hakuna matatizo mazito kwa babu....kama una ujauzito we sema tu....

Nani kama mtia ujauzito? Hakuna kama mtiwa ujauzito.

hahahahahah lol
babu unavituko wewe
ujauzito hautakuwa tatizo kwani
ulitokea kwa njia ya rahaaaaa sana

hili tatizo mmmmhhh tumwachie bibi ...
 
hahahahahah lol
babu unavituko wewe
ujauzito hautakuwa tatizo kwani
ulitokea kwa njia ya rahaaaaa sana

hili tatizo mmmmhhh tumwachie bibi ...

Mnong'oneze babu japo kiduchu

Nini kama mnong'onozo?
 
Back
Top Bottom