sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Ana umri gani huyo binti yako? Manake kuna umri mtoto hajaweza kuwa na akili vzr, ukmwulza baba na mama unampenda nani? Atakujb baba! U know why? Zawadi na outings zinamzuzua, akikua akaujua ulimwengu vizuri atabadili maneno yake. Atagundua mama ni muhimu kwake kuliko mtu yeyote huku duniani.
Hakuna aliyepo kama baba yangu. Baba yangu ndo shujaa wangu. Ingawa nampenda mama yangu lakini mapenzi yangu kwa baba yanayazidi yale ya mama. Msiniulize kwa nini. Ni jambo zito sana.
Kwa hiyo hapo utaona kuwa inategemea na uhusiano mtu alionao na mzazi/ wazazi wake. Mimi binti yangu ananipenda kuliko maelezo. Ukimwuliza 'who is your hero?'.....anakujibu bila kusita 'my daddy is my hero'. Kwake ni 'nani kama baba'. Humwambii na humwelezi kitu kuhusu baba yake. She's a daddy's a girl and I savor every bit of it.