Zanta
JF-Expert Member
- Apr 4, 2011
- 2,028
- 796
Mpaka sasa hakuna aliyeweza kutetea hii hoja ya Hakuna kama mama, maana wote waliochangia wamishia kusema tu bila kutolea maelezo. Babu wameshindwa kujenga hoja pale ishu ya kutupa watoto na kuwatesa kwa hiyo babu upo sahihi kabisa kama hakuna kama baba pia