Nani kama Mama Vs Nani kama Baba

Nani kama Mama Vs Nani kama Baba

Mnong'oneze babu japo kiduchu

Nini kama mnong'onozo?

duuuhhh
jamani huyu babu
yangu huyu mmmmhhh
kweli hakuna kama yeye..

babu sasa niki kunong'oneza
si hubby ataniuliza nilikuwa na
ku nong'oneza nini jamani dahhhh
 
Nyie watu wawili hapo juu, Hii thread inafungwa kwa msimamo wa babu katika post hii hapa chini.

Na mdogo wangu akamalizia kwa muktadha wa hoja maridhawa kabisa hapa chini

Konklusheni ni kwamba.

Hakuna kama WAZAZI bila kujalisha jinsia zao.

Tuwapende, tuwaheshimu na tuwatunze wazazi wetu.

HAKUNA KAMA MAMA......... sawa kabisa, lakini je NI NANI KAMA BABA? Hakuna!



Asprin yote hiyo ili tu ujustify kuwa mama si zaidi ya baba, kua wote sawa..... sawa bana....
 
duuuhhh
jamani huyu babu
yangu huyu mmmmhhh
kweli hakuna kama yeye..

babu sasa niki kunong'oneza
si hubby ataniuliza nilikuwa na
ku nong'oneza nini jamani dahhhh

Unaanza kuharibu sasa...we si umesema hakuna kama babu?

Akikuuliza unambwenga makwenzi afu unamwambia NANI KAMA BABU?

Haya...moja.....mbili....tatu........mnong'onozoooooo anza!
 
Unaanza kuharibu sasa...we si umesema hakuna kama babu?

Akikuuliza unambwenga makwenzi afu unamwambia NANI KAMA BABU?

Haya...moja.....mbili....tatu........mnong'onozoooooo anza!

hahahahha lol
babu itabidi tuingie chumbani
mie siko tayari kuweka bia moja
katikati ya walevi mia mmmhhhh
 
Asprin yote hiyo ili tu ujustify kuwa mama si zaidi ya baba, kua wote sawa..... sawa bana....

Ukweli ni kwamba hoja ilikuwa si kuwalinganisha hawa wazazi wawili.

Hoja ilikuwa kama mama anapewa heshima kubwa ya uzazi kwa cheo cha HAKUNA KAMA MAMA, inakuwaje mzazi mwenzie naye asistahili heshima kama hiyo? Baba ana mbadala?...Anabadilishika? Ananunulika? ...Hicho tu Asha wangu.

Baba naye anastahili heshima yake kwakuwa HAKUNA KAMA BABA!
 
hahahahha lol
babu itabidi tuingie chumbani
mie siko tayari kuweka bia moja
katikati ya walevi mia mmmhhhh

Hahahaha....

Hapo umenifurahisha sana kwakuwa Hakuna kama Bia...........Nini kama chumba?

Babu anawahi chumbani kusubiria mnong'onozo!
 
Hahahaha....

Hapo umenifurahisha sana kwakuwa Hakuna kama Bia...........Nini kama chumba?

Babu anawahi chumbani kusubiria mnong'onozo!

hahaha lol
mmmhh hakuna kama bia
chumba ndio sehemu nzuri ya
kunong'onezana .. babu harakisha
kabla hamu ya kukwambia haijapotea mmmhhh
 
Ukweli ni kwamba hoja ilikuwa si kuwalinganisha hawa wazazi wawili.

Hoja ilikuwa kama mama anapewa heshima kubwa ya uzazi kwa cheo cha HAKUNA KAMA MAMA, inakuwaje mzazi mwenzie naye asistahili heshima kama hiyo? Baba ana mbadala?...Anabadilishika? Ananunulika? ...Hicho tu Asha wangu.

Baba naye anastahili heshima yake kwakuwa HAKUNA KAMA BABA!

Hapo sina pingamizi ODM,,,hata hivyo leo nna upendo sana juu yako
 
babuuuuuuuuu!!! ugoro ulionituma huu hapa, ila usiteme hapo pembeni ya kitanda sasa.

usiogope bana, hakuna kama babu, hakuna kama Asprin.
 
hahaha lol
mmmhh hakuna kama bia
chumba ndio sehemu nzuri ya
kunong'onezana .. babu harakisha
kabla hamu ya kukwambia haijapotea mmmhhh

Hahahaha.... Nini kama hamu?

Babu ana hamu ya kunong'onezwa....... Nini kama hamu?
 
babuuuuuuuuu!!! ugoro ulionituma huu hapa, ila usiteme hapo pembeni ya kitanda sasa.

usiogope bana, hakuna kama babu, hakuna kama Asprin.

Ulikuwa wapi mpenzi?

Ona sasa, umechelewa umempunguzia babu siku zake za kuishi.....nitakuchapa.

Nini kama kichapo?
 
Hahahaha.... Nini kama hamu?

Babu ana hamu ya kunong'onezwa....... Nini kama hamu?

dahhh babu
leo naona haya maswali ya
nani ??
nini??
nunu??
ninu??
neni??
yamezidi mmhhh
kwanini tu lakini unanitesa na hayo maneno

nway karibu Nachoes hahaha lol
 
ODM tartiiibu naona sred linabadilika,,,,ghafla naona ni nini kama hamu na upendo badala ya nani kama mama na baba:happy:
 
dahhh babu
leo naona haya maswali ya
nani ??
nini??
nunu??
ninu??
neni??
yamezidi mmhhh
kwanini tu lakini unanitesa na hayo maneno

nway karibu Nachoes hahaha lol


Ukimuona AFRO mwambie nammiss halafu tunahitaji faragha.......
 
Ukimuona AFRO mwambie nammiss halafu tunahitaji faragha.......
sema kipenzi mama wa Busara
hata mimi nimekumiss sana dear ..
Sijui kwa nini wanikimbia siku hizi ...
kama nimekukosea nisamehe sana
lakini kama umenikosea mmmmmmhh
 
ODM tartiiibu naona sred linabadilika,,,,ghafla naona ni nini kama hamu na upendo badala ya nani kama mama na baba:happy:

Orayt.....back to topic

Nini kama sredi ya Nani kama mama Vs Nani kama baba?
 
dahhh babu
leo naona haya maswali ya
nani ??
nini??
nunu??
ninu??
neni??
yamezidi mmhhh
kwanini tu lakini unanitesa na hayo maneno

nway karibu Nachoes hahaha lol

Senkyu mai dia?

Wapi kama Nachoes?

Babu anakuja kunong'onezwa!
 
sema kipenzi mama wa Busara
hata mimi nimekumiss sana dear ..
Sijui kwa nini wanikimbia siku hizi ...
kama nimekukosea nisamehe sana
lakini kama umenikosea mmmmmmhh


Nikukimbie wewe!!!!!!!!!
Haiwezi kutokea mpenzi....
Hujanikosea wala sidhani kama unafikiria kufanya hivyo
Nimeamua kuwa kimya nikufatilie kwa umakini,,,lol
Kuonyesha nakupenda nimeandika ki-afro afro:evil:
 
Nikukimbie wewe!!!!!!!!!
Haiwezi kutokea mpenzi....
Hujanikosea wala sidhani kama unafikiria kufanya hivyo
Nimeamua kuwa kimya nikufatilie kwa umakini,,,lol
Kuonyesha nakupenda nimeandika ki-afro afro:evil:

Nani kama Wiselady wa babu?
 
Back
Top Bottom