Nani kama Mama Vs Nani kama Baba

Nani kama Mama Vs Nani kama Baba

Mama yangu ndo kila kitu alinisomesha kwa shida enzi hizo baba anakula ujana nimeshamsamehe Ila nae alinifanya kusoma kwa uchungu hadi kufika hapa nilipo!!
 
Hakuna aliyepo kama baba yangu. Baba yangu ndo shujaa wangu. Ingawa nampenda mama yangu lakini mapenzi yangu kwa baba yanayazidi yale ya mama. Msiniulize kwa nini. Ni jambo zito sana.

Kwa hiyo hapo utaona kuwa inategemea na uhusiano mtu alionao na mzazi/ wazazi wake. Mimi binti yangu ananipenda kuliko maelezo. Ukimwuliza 'who is your hero?'.....anakujibu bila kusita 'my daddy is my hero'. Kwake ni 'nani kama baba'. Humwambii na humwelezi kitu kuhusu baba yake. She's a daddy's a girl and I savor every bit of it.

Ni kama umeongea kilichomo moyon mwangu nina mapenz makubwa na baba yangu lakn nampenda mama yangu
 
Mama is everything guys hakuna wa kumpiku....hata iweje mama atabaki kuwa mama
 
Back
Top Bottom