Ah ha! Kwa hiyo hii blanket generalization ya nani kama mama haihuuuu. Ni vyema kuangalia kila situation on a case by case basis.
Kuna wengine tumefanya yote ukiondoa kunyonyesha kwa nyonyo. Tumenyonyesha kwa vyupa. Kuna kina mama wengine siku hawanyonyeshi kwa nyonyo. Ni chupa tu.
Tumebadilisha dirty diapers. Doctor visits hatukukosa. Tumekesha sana usiku. Si unajua watoto walivyo? Wengine usiku hawalali. Some of us have done it all and we still don't get appreciated by some people. I'm glad my Princess appreciates me and knows for a fact I'm irreplaceable.
Muda si mrefu ulopita pale Mwananyamala kama sikosei miili ya maiti za vichanga ilikutwa imetupwa. Nani kama mama?
Babu naona leo umetuamkia lakini ukweli utabaki pale pale hakuna kama MAMA ukielewa neno mama vizuri utaelewa na msemo una maana gani ingawaje sikatai na baba naye ana umuhimu wake ushawahi kuona watu wakijikwaa huwa wanaita nani/??
Hahahahaha....mkuu umegonga ikilu...
Hiyo inakuwa nani kama chupa!
Ntake radhi babu. Niko ofcn bana kwenye laptop nafanya kazi ya ofisi then mdogo mdogo naingia Jf bosi akpita hanishitukii.Tatizo we unapost via mobile. sijui uko gesti gani mida hii?
Ukichukulia huo msemo literary kua hakuna kama mama na hivyo baba ana umuhimu utakua unakosea njia... Ni kwanini inasemekana hakuna kama mama?
Mama ni kiumbe ambae katika viumbe woote tunamchukulia sana for granted. Huyu mama ndo kakubeba wewe tumboni kwako (hebu naomba u pause kidogo na tafakari hili suala - kua the whole of you, mwili wako huo wote ulitoka ndani ya tumbo lake). Mama ni Mwalimu, rafiki, dakitari, mtabiri, mpenzi wa kweli, dereva na vitu vingine viingi ambavyo naamini hata wewe pia unaelewa. Asprin niseme nini hapa... Nani kama mama ??? Mama anaamini wewe ndo wewe no matter your weakness (sometimes anapalilia hata hizo weakness), Mama anakuambia mwanangu Aprin mimi nakupenda na as long as am still there you will always be safe, sitakubali dunia ikusumbue... Niambie mwanangu; unasema unahitaji niwaongeze wewe na mkeo mtaji - usijali nitaongea na baba....
Baba on the other hand ni nguza yako ya kuegemea, ni jeshi lako la kukimbilia iwapo kuna wasi wasi wowote wa mashambulizi, ni mtu akuoneshae kua hii dunia you can overcome anything ukitumia nguvu, determination, focus na akili. Ni mtu ambae anakusimamie but ikifika wakati wa wewe kusimama anakujulisha kua nawe sasa ni ngazi, anakwambia kabisa kama wewe huna hivi huna nafasi katika hii dunia hivyo jiandae kua defeated - na anakujulisha kua kama utashindwa kua mwanajeshi katika mambo yote yakuzungukayo na kukusumbua basi mi sio commander wako...
Ni wachache saana wamepata bahati ya kupata committed Fathers hata kama wamelelewa nao, but kwa wale woote walojaliwa kulelewa na mama zao ilikua ni rahisi kupata a committed mom though ndio kuna exceptions..
Babu naona leo umetuamkia lakini ukweli utabaki pale pale hakuna kama MAMA ukielewa neno mama vizuri utaelewa na msemo una maana gani ingawaje sikatai na baba naye ana umuhimu wake ushawahi kuona watu wakijikwaa huwa wanaita nani/??
Kama baba wapo. Kama mama hakuna.Teh teh mpaka kieleweke leo mkuu nani kama baba?
Teh teh mpaka kieleweke leo mkuu nani kama baba?
Kamanda hii sredi unaitendea haki.... yaani unanikonga moyo.
Nimekuvulia kofia.
Nadhani hujanielewa. Huyu binti naekaa naye, mama yake alimtelekea. Na mai waifu wangu ndo anamlea.
Huyu aliyemtelekea naye ndo "NANI KAMA MAMA" kwa kuwa tu alibeba mimba kwa miezi tisa?
Na hawa kina mama wanaotelekeza watoto nao bado wana sifa ya "NANI KAMA MAMA"?
Kama baba wapo. Kama mama hakuna.
Kuzaa sio kazi kazi ni kulea. Na ujue kulea sio kulipa school fees.Kati ya kuzaa na kulea ipi ni kazi kubwa?