Hatari sana.Inatokea kwa wengi wetu, mimi mmojawapo, wenye moyo usio na subira huwa wanajiondoa uhai ila kama unapitia magumu acha yaje yatakuacha na uzoefu
Ni kupambana hadi jua lizame!Inatokea kwa wengi wetu, mimi mmojawapo, wenye moyo usio na subira huwa wanajiondoa uhai ila kama unapitia magumu acha yaje yatakuacha na uzoefu
Unajua ni walewale!😂 😂 😂 😂 asee usiombe hiyo hali ikukute, hata simu yako ikiita hutamani hata kuangalia anaepiga ni nani.
Hapa nilipo nimeweka airplane mode natumia WiFi, nimezuia whatsapp kupata internet, pressure hazinipati, sometime kuwa offline hata week kama simu yako sio source ya hela, inasaidia sana😂 😂 😂 😂 asee usiombe hiyo hali ikukute, hata simu yako ikiita hutamani hata kuangalia anaepiga ni nani.
Haya mambo yaliwah nitokea zaman nikaamua nijitoe uhai ila sikufa mpaka leo huwa nashangaa ilikuwaje nikaponaInatokea kwa wengi wetu, mimi mmojawapo, wenye moyo usio na subira huwa wanajiondoa uhai ila kama unapitia magumu acha yaje yatakuacha na uzoefu
Mtu ananunua maviwanja mengi mpaka yanafikia kias cha 1 bill afu wakat huo mimi najiuliza laki 3 naipatajeHalafu unasikia mara paaa, mkataba wa madini wamesaini jamaa wamevuta ma bilioni kwenye akaunti zao, na bei ya vitu imepanda.
Unakuta hata shughuli nayo hunaJiweke busy , dili na shughuli zako hiyo hali itaondoka !
Watakupotezea muda na hela, deal na tatizo mwenyewe, anza upya pasipo mtu asiekujua kama inawezekanaHiii Hali ikikutokea ndo ukisikiliza maneno ya manabii WA uongo unaona tayari unalambwa kisogo
Si Mpaka uwe na hiyo busy,kama upo kwa shemeji!Jiweke busy , dili na shughuli zako hiyo hali itaondoka !
kweli kabisaHuwa marafiki wanaisha wote, mbaya zaidi hata familia inaweza kukukimbia