nditolo
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 3,609
- 4,097
Alishafukuzwa jeshini tangu alipomaliza kutoa ushahidi uraiani. Akamuona kingai ni afande wake mpumbfu kweliVipi akipewa Luteni Urio,ni mbunifu na mzalendo wa kiwango cha hali ya juu sana.
Alishafukuzwa jeshini tangu alipomaliza kutoa ushahidi uraiani. Akamuona kingai ni afande wake mpumbfu kweliVipi akipewa Luteni Urio,ni mbunifu na mzalendo wa kiwango cha hali ya juu sana.
Sijawahi kuisikia hii kanuni na sielewi kwanini imewekwa.Kikanuni lazima wawe wamepita jkt..
kama wamefika huko na hawakupita jkt hawana sifa ya kua cdf...
Hivyo wa chini yao.aliepita jkt ataweza kupandishwa mfulilizo hadi kwenye levo yao...na atapewa cdf..
Sio lahisi kwa sasa..wangetaka hivyo wangefanya mchezo huo toka mwaka wa jana.
Lazima kwenye hiyo timu ya maluten jeneral yupo aliepita jkt..watapeleka majina ma3 yatachambuliwa...atasimikwa mmoja wao.
Infantry ndio jeshi mama la Tanzania. So hayo majeshi mengine kama Navy, Air Force ni command ambazo sio kubwa kama land ForceSure navy na airforce should be considered first
Kila siku infantry
Mbuge hajawahi piganisha vita, so Hana sifaHuyo aliyesema Gaguti sijui hata kaambiwa na nani
Yakub hakuwa anaandaliwa bali alikuwa wa Mpito tu
Mbuge ndiyo alikuwa anaandaliwa awe CDF 2025
Mnadhimu alikuw Luteni Jenerali Samuel NdombaHapana mkuu, Mnadhimu aliyekuwepo alistaafishwa tena nadhani ni Mwakibolwa na Mabeyo akateuliwa kuwa Mnadhimu mwezi Novemba 2016 na February 2017 akawa CDF
Hii imewekwa kuhakikisha kila mwajeshi amepita kwenye utamaduni, kumbuka jkt ni kama chuo pia.hivyo kama hujapita jkt nisawa na kutojua utamaduni wako.Sijawahi kuisikia hii kanuni na sielewi kwanini imewekwa.
All in all CDF mpya lazima awe muislamu mwenzetu.Kufatia habari ya jana ya kustaafu kwa General Mabeyo ndani ya JWTZ, basi kama kawaida yetu sio mbaya tukafanya bashiri ya nani anaweza akawa CDF mpya.
Kwakuwa JF ni uwanja mpana, ina wadau wengi na wengine ni wa huko huko jikoni, sio mbaya tukapendekeza jina la CDF mpya kwa kuzingatia uweledi wake katika kuchapa kazi.
Mimi nampa nafasi kubwa Luteni Jenerali Mathew Mkingule kuwa CDF mpya.
Lakini pia kwenye korido anatajwa Luteni Jenerali Yakubu Mohamed balozi wa Tanzania nchini Uturuki.
Japo pia mzee wa infantry, Meja Jenerali Mwaisaka anapigiwa chapuo.
Vilevile, Meja Jenerali Rajab Mabele naye anaweza akawa CDF mzuri tu kwa utendaji wake mzuri wa kazi huko JKT.
Japo pia kuna minong'ono kuhusu Meja Jenerali Suleimani Mzee kufatia kazi ya kutukuka huko Magereza.
Ila watu wasimua-underrate Meja Jenerali Mbuge lolote linaweza kutokea. Japo kwasasa ni Mkuu wa Mkoa wa Kagera.
Brigedia Jenerali J.J. Mwaseba mkuu wa chuo cha TMA naye anatajwa japo atakuwa yupo nyuma sana kwa rank kulinganisha na hao wenzake.
NB:
Uzi huu haumlengi kumpigia mtu yoyote promo!!
Viva JWTZ
Viva Tanzania
Alishafukuzwa jeshini tangu alipomaliza kutoa ushahidi uraiani. Akamuona kingai ni afande wake mpumbfu kweli
Hivi ni msukuma au mkurya?Huyu jamaa nae kapanda fasta
Cheo alichonacho hakiendani hata umri wake
Ohooo ushaambiwa kwa mwendazake kila kitu kiliwezekanaMbuge hajawahi piganisha vita, so Hana sifa
Sheria inatamka mmoja wa majenerali. Anaweza kutokea kaunzia Brigedia, Meja, au Luten Jenerali.Humu watu hata protokali za jeshi hawazijui
Yani mtu ni brigedier general au major general awe cdf halafu aachwe lieutenant general?
Enzi za mwendazake ofcourse ingewezekana hata segeant kuwa cdf