Nani anapaswa aanze au wote?

Nani anapaswa aanze au wote?

Ngoja nikwambie rafiki, unajua kuna mabinti wengine huwa wanakera sana....

Yaani sijui ni kwamba huwa wanapenda kuchat chat au ndio mazoea yao...

Wanatuma meseji utadhani mtangazaji wa mpira anavyotangaza, hakuna kuchoka...

We ushaambiwa mtu yupo busy, kuwa mvumilivu na kama huwezi kuwa na mtu wa namna hiyo chapa lapa...

Endelea kumjaza upepo binti wa watu!

Ukweli ni kuwa AMESHAPATA ALICHOKITAKA ndo anajiondoa taratibuuuuuu kama ifuatavyo! Wala sio kwamba amempata mwingine, ukimchunguza utagundua kuna mwenzako anafanyiwa aliyokuwa akikufanyia wakati anakutongoza. Ts the dirty cycle of #teamBazazi
 
Kwa taarifa yako usipomtumia sms anakuuliza mbona upo kimya? nimeuchuna jana anauliza mbona umenyamaza sana leo...
Anyway nashukuruni...Kuna aliyenishauri hapo juu kuwa kuna wengine wako hivi...nimehisi kweli...Ngoja niende mdogo mdogo....

Ahsante pia wewe kwa ushauri wako..Ubarikiwe


*********************



Pole. Sasa kama ungekuwa we ni mvuvi labda, samaki ukishamvua ndoano ya nini tena? Anayetongoza mara nyingi akishafanikiwa kiherehere huwa kinapungua au kwisha. Aliyetongozwa kiherehere kinaanza baadae. Ndo yaliyokukuta. Au wakati anakutaka ulikuwa unamtumia message kama unavyomtumia sasa? Halafu unalalamika kuwa kuwa ukimwambia " l love you" anakwambia "me too". Sasa ulitaka akwambieje kwa mfano? Ulitaka akujibu "I'm not sure" au " i don't love you"?! Tcha! Mi kama nampenda au hata kama simpendi akiniuliza "unanipenda?" nitamjibu " kwani vipi?".

We bibie unapenda mapenzi ya kitoto - kila saa unataka uhakikishiwe usalama (si vibaya sana). Huyo kaka kuna mawili: labda si mtu wa i love you, i love you, mpenzi umekula, mpenzi umevaa chupi gani.....lakini haimaanishi kuwa hakupendi. Anaweza kuwa anakupenda ila style yake ya kuonyesha upendo haiendani na ya kwako, au hakupendi, mapenzi yenu yalikuwa ya moto wa kifuu - yaani ya kuongozwa na genye. Sasa za mwenzio zimeisha, we zako zimepanda mpaka kwenye moyo wakati za mwenzio mlishaziflash. Kwa hiyo jaribu kujua kati ya hayo mawili ni kipi kinahusika. Punguza hizo i love you zako na maswali maswali (hizi zinakera sana hasa mida ya kazi). Tuma au piga simu asubuhi na jioni, na zisiwe za malalamiko. Ukiona hazijibiwi kaa kimya, ukiona kimya hesabu hasara, jipange upya. Hakuna lililoharibika. Safari ya maisha ina mambo mengi.
 
Kusalimina siyo issue nani anaanza kumsalimia mwenzie, lakini hilo la kumwambia "I love you" halafu anapotezea...STUKA! potea ka wiki hivi hakuna kupiga wala kutuma text message, kama kweli anakupenda siku ya tatu lazima akutafute, ukiona wiki imekatika ujue njemba ilikuwa inafurahia papuchi tu lakini penzi hakuna.



 
Last edited by a moderator:
Sio kweli, kuna watu hawana hulka ya kupiga piga simu au kufanya texting...
basi tunatofautiana mi nisipojuliwa hali hata siku moja tu huwa nakosa amani kabisa hata kiwatengu anajua hili
 
Last edited by a moderator:
Hata mimi nipo kama huyo mpenzi wako, kuna wakati i love you zinaboa sana,
 
wewe kama una demu halafu humwelewi.,achana nae..kuwa busy na mambo yako..
 
. Na wakati mwingine nikimtumia meseji ya love hajibu ila nikituma meseji ya kitu kingine kisichohusu Love anajibu haraka.

Tatizo lako ukiandika meseji ya mapenzi inakuwa kama ume-forward ile ya jana yake!
Andika kitu kipya halafu so kila saa mapenzi, mapenzi kuna issue nyingi tu za kuniambia!
 
usikate tamaa endelea kumuanza wewe huku ukiliangalia lengo lenu la kuoana kwa kuendelea kumuomba Mungu awafanyieni wepesi. chukulia umepanda mmea wako usipoumwagilia maji na kuuwekea mbole hautastawi na mapenzi nadhani ndivyo ilivyo.

kama mtu kakuchoka there nothing else you can do about hata ufanye nini labda yeye ajirudi kwaanzaa!!!
 
Sio wanaume wote wako romantc au kila mara wanapenda kuongelea mapenz kuna wanaume wengne ukiona anamfungulia mwanamke mlango wa gari ujue huo mlango mbovu lkn unakuta anampenda hasa ......na mimi ndivyo nilivyo hata ukikaa wiki mimi cjali as long najua ww ni mpenzi wang na maisha yanaendelea

very confident
 
Ina depend.....safari ya mapenz ina mambo mengi.Wapo waliotakana siku ya kwanza kuonana na ndo siku wamedinyana na wakaendelea na mapenzi.
Kwahyo hayo mambo inategemea na nyinyi watu wawili mnachukuliaje mapenzi kwa ujumla wake.

umeulizwa kuhusu wewe unaanza kuleta story za watu wengi...jibu swali mama!!!
 
Mawasiliano ni moja ya nguzo muhimu katika mapenzi, ukiona imeanza kuanguka kimbia hapafai hapo usisubiri ikuangukie.
 
mawasiliano muhinu.....haijalishi nani aanze....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom