Nani anapaswa aanze au wote?

Nani anapaswa aanze au wote?

unajua kuwa mazoea mwanzo wa dharau.... sio kama hakupendi anakupenda ila anapenda jinsi unavofanya kama paka miguun akilialia.... mwanaume ndo anapenda sana kusikia mtu wake akimlialia kwa ajili yake.... itafikia na yeye ataanza baada ya wewe kuchoka kumwambia....
 
dada hebu jaribu kubalance mda wako japo inauma unapenda kweli...! ila fanya zoez hilo

mpotezee kidogodogo baadae utazoea, ila zaid usikilize moyo wako
 
kaa chini umuulize vizuri kama hakupendi akuache utafute mwingine
 
Ukitumia moyo na kutoipa nafasi akili ifanye yake ndo tatizo.Mabadiliko ya mtu wa karibu unayajua tu sema tunajipa moyo.

Tatizo ni kuwa utabadilisha wangapi...ndio maana sometimes we hold on kwny mahusiano ambayo ni magumu
 
Tatizo ni kuwa utabadilisha wangapi...ndio maana sometimes we hold on kwny mahusiano ambayo ni magumu

Kubadilisha hata mia.....tatizo wanawaonjesha kabla hajamjua kwa asilimia kubwa huyo mtu yupoje.Masharobaro wasumbufu sana
 
Kwa hiyo ww unaona tatizo ni kumpa mtu mzigo?

Sababu ni nyingi bwana ndio maana ni ngumu sana kumshauri sana mtu mambo ya mapenzi coz hatujui hasa undani wa hawa watu,hasa safari ya mapenzi yao.
 
Wanawake huwa mnasumbuliwa na vitu vidogo vidogooooo....

Yaani kitu kidogo tu kama hicho kinaweza kusababishwa ukapigwa dudu na mtu mwingine...

Mtu kama anakupenda anakupenda tu hata usipotumiwa SMS....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom