Nani anapaswa aanze au wote?

Nani anapaswa aanze au wote?

Sababu ni nyingi bwana ndio maana ni ngumu sana kumshauri sana mtu mambo ya mapenzi coz hatujui hasa undani wa hawa watu,hasa safari ya mapenzi yao.

Mfano mm ndio nakufukuzia unachukua muda gani mpk kuona nafaa kuanza kutupia magoli
 
usikate tamaa endelea kumuanza wewe huku ukiliangalia lengo lenu la kuoana kwa kuendelea kumuomba Mungu awafanyieni wepesi. chukulia umepanda mmea wako usipoumwagilia maji na kuuwekea mbole hautastawi na mapenzi nadhani ndivyo ilivyo.
 
Sio wanaume wote wako romantc au kila mara wanapenda kuongelea mapenz kuna wanaume wengne ukiona anamfungulia mwanamke mlango wa gari ujue huo mlango mbovu lkn unakuta anampenda hasa ......na mimi ndivyo nilivyo hata ukikaa wiki mimi cjali as long najua ww ni mpenzi wang na maisha yanaendelea
 
Mfano mm ndio nakufukuzia unachukua muda gani mpk kuona nafaa kuanza kutupia magoli

Ina depend.....safari ya mapenz ina mambo mengi.Wapo waliotakana siku ya kwanza kuonana na ndo siku wamedinyana na wakaendelea na mapenzi.
Kwahyo hayo mambo inategemea na nyinyi watu wawili mnachukuliaje mapenzi kwa ujumla wake.
 
Habari wana MMU?

Naomba kuelimishwa. Mimi nimekuwa na mpenzi wangu ila simuelewi, Kila kukicha salamu nianze mie, nikiwa kimya hata hadi jioni naye atakuwa kimya. Nikimtumia sms za love labda I love you, anajibu ME TOO.

Nikimimuuliza kama ananipenda wakati tunaongea anasema ananipenda. Sielewi, Me nahisi sote twatakiwa kukumbukana si lazima me tu kila kukicha nianze kutamka neno au kusalimu. Na wakati mwingine nikimtumia meseji ya love hajibu ila nikituma meseji ya kitu kingine kisichohusu Love anajibu haraka.

Nikimuumiza meseji yangu ya mwanzo hukuiona ataweza sema nilikuwa buzy sana. Yaani napata wakati mgumu kumuwaza.

Nampenda ila ye simuelewi upendo wake.

pole sana kwa shida unazopata, unampenda lakini inawezekana kabisa hakupendi
 
Ina depend.....safari ya mapenz ina mambo mengi.Wapo waliotakana siku ya kwanza kuonana na ndo siku wamedinyana na wakaendelea na mapenzi.
Kwahyo hayo mambo inategemea na nyinyi watu wawili mnachukuliaje mapenzi kwa ujumla wake.

Hahahahahahah

Mimi huwa napenda zile za mazoezi na mechi aiku hiyohiyo...

Sio kila siku nakutoa dinner tunaenda tunafurahia miezi inapita hunipi hata nionje
 
Hahahahahahah

Mimi huwa napenda zile za mazoezi na mechi aiku hiyohiyo...

Sio kila siku nakutoa dinner tunaenda tunafurahia miezi inapita hunipi hata nionje

Mwanamke unatakiwa uwe mjanja sana katika kudadisi mambo la sivyo kila siku tutalia.

Mtu unakurupukia mtu hata jina lake la pili hulijui.Ni balaaaa
 
Mwanamke unatakiwa uwe mjanja sana katika kudadisi mambo la sivyo kila siku tutalia.

Mtu unakurupukia mtu hata jina lake la pili hulijui.Ni balaaaa

Hahahahahha

Saa nyingine adventure za kuchukua risk katika mapenzi ni tamuu sana
 
Sio wanaume wote wako romantc au kila mara wanapenda kuongelea mapenz kuna wanaume wengne ukiona anamfungulia mwanamke mlango wa gari ujue huo mlango mbovu lkn unakuta anampenda hasa ......na mimi ndivyo nilivyo hata ukikaa wiki mimi cjali as long najua ww ni mpenzi wang na maisha yanaendelea
Looh relationship mawasiliano.silence utaikuta library....wiki unashindwa hata kunijulia hali??
 
Nnachojua mimi ni kwamba, binadamu tunatofautiana sana. Inawezekana jamaa anakukubali sana, lakini hana ile "art" ya mapenzi.Kuna wengine hata kiss hadi uombe, na ulisema leo, kesho yale yale....so kama unampenda endelea nae tu, mdogo mdogo.
 
Habari wana MMU?

Naomba kuelimishwa. Mimi nimekuwa na mpenzi wangu ila simuelewi, Kila kukicha salamu nianze mie, nikiwa kimya hata hadi jioni naye atakuwa kimya. Nikimtumia sms za love labda I love you, anajibu ME TOO.

Nikimimuuliza kama ananipenda wakati tunaongea anasema ananipenda. Sielewi, Me nahisi sote twatakiwa kukumbukana si lazima me tu kila kukicha nianze kutamka neno au kusalimu. Na wakati mwingine nikimtumia meseji ya love hajibu ila nikituma meseji ya kitu kingine kisichohusu Love anajibu haraka.

Nikimuumiza meseji yangu ya mwanzo hukuiona ataweza sema nilikuwa buzy sana. Yaani napata wakati mgumu kumuwaza.

Nampenda ila ye simuelewi upendo wake.

Na wakati mwingine nikimtumia
meseji ya love hajibu ila nikituma meseji ya kitu
kingine kisichohusu Love anajibu haraka.

hapo umependa ila hujapendwa
 
Habari wana MMU?

Naomba kuelimishwa. Mimi nimekuwa na mpenzi wangu ila simuelewi, Kila kukicha salamu nianze mie, nikiwa kimya hata hadi jioni naye atakuwa kimya. Nikimtumia sms za love labda I love you, anajibu ME TOO.

Nikimimuuliza kama ananipenda wakati tunaongea anasema ananipenda. Sielewi, Me nahisi sote twatakiwa kukumbukana si lazima me tu kila kukicha nianze kutamka neno au kusalimu. Na wakati mwingine nikimtumia meseji ya love hajibu ila nikituma meseji ya kitu kingine kisichohusu Love anajibu haraka.

Nikimuumiza meseji yangu ya mwanzo hukuiona ataweza sema nilikuwa buzy sana. Yaani napata wakati mgumu kumuwaza.

Nampenda ila ye simuelewi upendo wake.


Huyo kaona mwingine zaidi yako, hivyo anajitafakari aanze vipi kukutimua kukuchunia au?
 
Wanawake huwa mnasumbuliwa na vitu vidogo vidogooooo....

Yaani kitu kidogo tu kama hicho kinaweza kusababishwa ukapigwa dudu na mtu mwingine...

Mtu kama anakupenda anakupenda tu hata usipotumiwa SMS....
na wanaume kufanya kila kitu kwa mazoea sio vizuri eti kwa sababu ushanizoea ndo usinijulie hali haiwezekani ni dalili ya kuchuja kwa penzi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom