Nani anapaswa aanze au wote?

Nani anapaswa aanze au wote?

Mpe muda, bado anapasha pasha kwanza, makopa kopa hayajaingia bado.
 
Kumchunia wiki siwez duuh...kuumia wik nzima siwez mim mda huo huo anaulizwa

Binadamu tumetofautiana.....anayekupenda hawezi akawa bize 24/7 mpk umpigie o kumText kila mara na wakati mwingine asijibu sms nakujifanya yupo bize.
Me namchunia nikiona kimya....unabembeleza nini???
 
Huo ubize gani ndo kila siku aanzwe yeye tu, ina maana ye hakuna hata siku ya kusema kakukumbuka??
Mmmmmmh......pole!
 
Binadamu tumetofautiana.....anayekupenda hawezi akawa bize 24/7 mpk umpigie o kumText kila mara na wakati mwingine asijibu sms nakujifanya yupo bize.
Me namchunia nikiona kimya....unabembeleza nini???

Anabembeleza dudu
 
polee , nakumbuka mpnzi wangu wa mwanzo ilianza kama hivi, nkawa simuelewi, nkimwambia anakua mkali, nkijaribu tukutane tuongee hataki, mwisho tukaachana, coz nlichoka na mimi

so, na mim sioni kama ana muelekeo mzuri, jipange kisaikologia kutengana

Umeshapata mwingine au nije kuweka makopa yangu?
 
binti anakuvutia kasi akuteme ashakuchoka
 
kapata mzuri zaidi yako ndiomana hakupi umuhimu so akili kumkichwa hapo.
 
Alikuwa akifanya mazoezi kwako. Si mmesema practice makes perfect? Wewe umekuwa sehemu ya kufanyia mazoezi.

Na bado, msipoweka vizibo tutawala hadi mkome...!
 
amini nakuambia keshapata mwingine mi yalishanitokea hayo..,....yupo busy na mwingine
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom