Kusalimina siyo issue nani anaanza kumsalimia mwenzie, lakini hilo la kumwambia "I love you" halafu anapotezea...STUKA! potea ka wiki hivi hakuna kupiga wala kutuma text message, kama kweli anakupenda siku ya tatu lazima akutafute, ukiona wiki imekatika ujue njemba ilikuwa inafurahia papuchi tu lakini penzi hakuna.
hii inasababishwa na mabadiliko ya tabia ya hali ya hewa. uvumilivu muhimu mno.Habari wana MMU?
Naomba kuelimishwa. Mimi nimekuwa na mpenzi wangu ila simuelewi, Kila kukicha salamu nianze mie, nikiwa kimya hata hadi jioni naye atakuwa kimya. Nikimtumia sms za love labda I love you, anajibu ME TOO.
Nikimimuuliza kama ananipenda wakati tunaongea anasema ananipenda. Sielewi, Me nahisi sote twatakiwa kukumbukana si lazima me tu kila kukicha nianze kutamka neno au kusalimu. Na wakati mwingine nikimtumia meseji ya love hajibu ila nikituma meseji ya kitu kingine kisichohusu Love anajibu haraka.
Nikimuumiza meseji yangu ya mwanzo hukuiona ataweza sema nilikuwa busy sana. Yaani napata wakati mgumu kumuwaza.
Nampenda ila ye simuelewi upendo wake.
mi mzima sana kaka hali vipi
Nafurahi kusikia umzima Mungu ashukuriwe, mie pia niko poa sana namshukuru Muumba wetu.
Habari wana MMU?
Naomba kuelimishwa. Mimi nimekuwa na mpenzi wangu ila simuelewi, Kila kukicha salamu nianze mie, nikiwa kimya hata hadi jioni naye atakuwa kimya. Nikimtumia sms za love labda I love you, anajibu ME TOO.
Nikimimuuliza kama ananipenda wakati tunaongea anasema ananipenda. Sielewi, Me nahisi sote twatakiwa kukumbukana si lazima me tu kila kukicha nianze kutamka neno au kusalimu. Na wakati mwingine nikimtumia meseji ya love hajibu ila nikituma meseji ya kitu kingine kisichohusu Love anajibu haraka.
Nikimuumiza meseji yangu ya mwanzo hukuiona ataweza sema nilikuwa busy sana. Yaani napata wakati mgumu kumuwaza.
Nampenda ila ye simuelewi upendo wake.