Ni swali tu ndugu zangu ambalo limekuwa likininitatanisha sana na leo nimeona nishiriki nanyi kulijadili.
Nimeona Tundu Lissu akiomba watu wakahudhurie mkutano wa hadhara uliotishwa na chama chake, ni jambo jema kama kiongozi wa kisiasa.
Pia, nimeona watu wakihimizana wakampokee Lissu akitua uwanja wa ndege hapa ndipo kwenye ukakasi na kupelekea kuuliza swali hili: Je, ni nani anayestahili mapokezi ya heshima kati ya Dkt.Samia ambaye siku zote ameshiriki pamoja nasi kupambana kujenga uchumi wetu au ni Tundu Lissu ambaye alikikimbia kivuli chake mwenyewe na sasa anakirudia?
N.B: Hata mwana mpotevu alipokelewa kwa shangwe na sherehe kubwa lakini mtoto aliyekuwepo siku zote nyumbani na babaye ndiye aliyeahidiwa urithi wa kila kitu.
Nimeona Tundu Lissu akiomba watu wakahudhurie mkutano wa hadhara uliotishwa na chama chake, ni jambo jema kama kiongozi wa kisiasa.
Pia, nimeona watu wakihimizana wakampokee Lissu akitua uwanja wa ndege hapa ndipo kwenye ukakasi na kupelekea kuuliza swali hili: Je, ni nani anayestahili mapokezi ya heshima kati ya Dkt.Samia ambaye siku zote ameshiriki pamoja nasi kupambana kujenga uchumi wetu au ni Tundu Lissu ambaye alikikimbia kivuli chake mwenyewe na sasa anakirudia?
N.B: Hata mwana mpotevu alipokelewa kwa shangwe na sherehe kubwa lakini mtoto aliyekuwepo siku zote nyumbani na babaye ndiye aliyeahidiwa urithi wa kila kitu.