Nani anafaa kumrithi Makonda Dar es Salaam?

Nani anafaa kumrithi Makonda Dar es Salaam?

Ukuu wa Mkoa ni kazi ambayo mtu yeyote tu anaweza kuifanya..

Mwizi wa vyeti anaweza, failure upande wa Taaluma anaweza nk nk..

La muhimu kupita yote ni kwamba Mh RC awe ni mtu wa kujitoa fahamu katika kujipendekeza kwa Boss..

RC ni nafasi ambayo haihitaji weledi wowote na kiukweli mpaka sasa yanayotendwa na Ma RC ni kama hayapo, ndio maana Tume ya Jaji Warioba kwenye rasimu ya Katiba Mpya ILIKIFUTA cheo hiki.
 
Ukuu wa Mkoa ni kazi ambayo mtu yeyote tu anaweza kuifanya..

Mwizi wa vyeti anaweza, failure upande wa Taaluma anaweza nk nk..

La muhimu kupita yote ni kwamba Mh RC awe ni mtu wa kujitoa fahamu katika kujipendekeza kwa Boss..

RC ni nafasi ambayo haihitaji weledi wowote na kiukweli mpaka sasa yanayotendwa na Ma RC ni kama hayapo, ndio maana Tume ya Jaji Warioba kwenye rasimu ya Katiba Mpya ILIKIFUTA cheo hiki.
Duh! Eeee bhana eeee !!
 
  • Mtu mwenye umri wa makamo AU Mzima kiasi ( Miaka 40-69)
  • Itafaa zaidi akiwa mwenyeji/mzaliwa wa pwani au aliyefanya kazi Dar kwa muda mrefu
Apewe mama Sophia Simba
  • Kwanza kisiasa itamaanisha reconciliation ya kilichotokea katika mchakato wa kumpata mgombea wa CCM mwaka 2015
  • Pili ni mama mchapakazi, anaheshimika na wanawake ambao ni population kubwa zaidi Dar
  • Tatu ni mzaramo (even though hatumpi uongozi kwa uzaramo wake per se), huyu ni mwenyeji wa mji, analijua jiji, anaijua saikolojia ya jiji, Pia Kama alivyowahi kusema JPM kuwa Wazaramo ni watani wake, basi sasa ni muda muafaka kumpa kiti mtani wake naamini hatomwngusha
  • Nne, Ni mtu mzima, anajua nini maana ya uongozi
  • Ana haiba ya uongozi bila shaka hatutaona mambo ya ajabu mkoani Dar
  • Anaijua CCM, ataiwakilisha Dar vizuri kwenye chama, maana mkuu wa mkoa ni mjumbe wa vikao vya chama ktk mkoa
  • Huyu ana kura za wanawake nyuma yake nyingi, ni asset kwa JPM kwenye uchaguzi wa mwaka 2020
  • Kupewa huyu mama mkoa itakuwa ni meseji ya Unity baina ya faction ndani ya CCM kuwa wanakwenda kwenye uchaguzi wa mwaka 2020 wakiwa wamezika tofauti za mwaka 2015
  • Ni mwanamama, Dar kwa sasa inahitaji utulivu kama ule wa Kilimanjaro kwa mama Mghwira, naamini aina hii ya calming energy inaweza kuletwa na mwanamke tena mtu mzima mwenye uzoefu katika uongozi
Ni mawazo yangu tu!
 
Luteni mstaafuu chiku galawa Wa mkuu Wa mkoa Wa songwe panamfaa hapo dar
 
Hili ni swali tu ndugu zangu , wala halina uhusiano na jambo lingine lolote .

Ieleweke kwamba Mkoa wa DSM kama ilivyo mikoa mingine umeishaongozwa na Wakuu tofauti tofauti wa Mkoa , kwa uchache nitaweka majina kadhaa , Tukianza na Marehemu Kandoro , Marry Chipungahelo , Mecky Sadik na Ditopile Mzuzuri

Uongozi ni kama mbio za kupokezana vijiti , leo huyu kesho yule , hakuna kiongozi wa milele .

Pendekeza jina la umtakaye hata kama itafika miaka 15 ijayo .

Wakati si milele
Freeman Aikael Mbowe
 
Back
Top Bottom