Pamoja na kuimbwa sana na Msondo ngoma lakini aliondoka na kuliacha jijiJiji la makamba
Ikaja ikaitwa jiji la kandoro,dah yale maji matam...,saiv eti jiji la makonda..aarghh hata haisound vizuriPamoja na kuimbwa sana na Msondo ngoma lakini aliondoka na kuliacha jiji
Mgambo wa Manispaa ya Ilala hawatamsahau kwa posho zaoJerry Sla
Achana na chadema hao wakisikia jina la Makonda mapepo yanawapandaKwani anastaafu.
hivi cocochanel baada ya safari yake ya china mmemficha wapi?Achana na chadema hao wakisikia jina la Makonda mapepo yanawapanda
Mnamuonea makonda tu maana hata Mathew Luhanga alikuwa rais hakuna aliyehoji.Wa kumrithi Makonda sidhani kama atatokea wa kufanana naye kwa sababu siamini kama kuna kiongozi wa kutumia cheti cha mtu mwingine kwenda chuo atakuja kuteuliwa kuwa mkuu wa Mkoa wa Dar.
Na kumtukana pia na iwe mbele ya kameraKampige kibao warioba
Mbona nimesikia ana mtoto kutoka china?si huyo anaweza kumrithi?Hili ni swali tu ndugu zangu , wala halina uhusiano na jambo lingine lolote .
Ieleweke kwamba Mkoa wa DSM kama ilivyo mikoa mingine umeishaongozwa na Wakuu tofauti tofauti wa Mkoa , kwa uchache nitaweka majina kadhaa , Tukianza na Marehemu Kandoro , Marry Chipungahelo , Mecky Sadik na Ditopile Mzuzuri
Uongozi ni kama mbio za kupokezana vijiti , leo huyu kesho yule , hakuna kiongozi wa milele .
Pendekeza jina la umtakaye hata kama itafika miaka 15 ijayo .
Wakati si milele