Nani anafaa kumrithi Makonda Dar es Salaam?

Nani anafaa kumrithi Makonda Dar es Salaam?

Embu Tuangalie Hili Swala La Kontena 20 Za Paul Makonda Kwa Jicho La Tatu, Hivi Mtu Aliyeutumikia Umma Kwa Miaka 4 Tu (Hakuwai Kuajiriwa Kabla Ya Hapo)Anatoa Wapi Pesa Ya Kuagiza Kontena 20 Kwa Mkupuo? Inamaana Siku Hizi Utumishi Wa Umma Una Lipa Kiasi Hiki? INASHANGAZA SANA!
 
Embu Tuangalie Hili Swala La Kontena 20 Za Paul Makonda Kwa Jicho La Tatu, Hivi Mtu Aliyeutumikia Umma Kwa Miaka 4 Tu (Hakuwai Kuajiriwa Kabla Ya Hapo)Anatoa Wapi Pesa Ya Kuagiza Kontena 20 Kwa Mkupuo? Inamaana Siku Hizi Utumishi Wa Umma Una Lipa Kiasi Hiki? INASHANGAZA SANA!
Kuna utajiri wa kurithi mjomba
 
Ingawa kuna sifa za kuwa Mkuu wa mkoa lakini hiyo ni kazi ya uteuzi na sio kuchaguliwa. Kuwapeleka watu wajadili nani anafaa ni kuwapotezea muda tu. Rais atamteua anayefaa kwa vigezo stahili.
 
Mtu mcha Mungu wakweli,makini,mwerevu na aliyetembea nchi mbalimbali,msikivu,mchapakazi,msomi na jasiri mchangamfu atafaa.
 
We jifiche nyuma ya key board tu ukidhani Paul huwa anachuriwa. Ati miaka 15 ijayo.
wadhani huyu kijana atakuwa kishastaafu kwa mujibu?? Haondoki ng'o. Labda wewe uondoke umwache. Si wajua tunahamia dom?? Sasa ni nani atachunga mpaka wa mashariki??
 
We jifiche nyuma ya key board tu ukidhani Paul huwa anachuriwa. Ati miaka 15 ijayo.
wadhani huyu kijana atakuwa kishastaafu kwa mujibu?? Haondoki ng'o. Labda wewe uondoke umwache. Si wajua tunahamia dom?? Sasa ni nani atachunga mpaka wa mashariki??
Punguza jazba.
 
Back
Top Bottom