kigogo warioba
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 6,048
- 9,405
kwanza libashyte halitumbuliwi!
Tafadhali acheni hizo kampeni, Mkuu wetu wa Mkoa wa Pwani tunamuhitaji mno ili akamilishe program yake ya kuufanya Mkoa wa Pwani kuwa ni Mkoa wa viwanda.Huyu engineer RC wa Pwani ni mtu aliyejipanga sana! sio wa maneno yeye ni vitendo tu
nataman angekuwa Dar es salaam kwa sababu zifuatazo;
kwanza ni muumini mkubwa wa serikali ya viwanda - Jamaa ameweka mazingira mazuri kwa viwanda kibaha ikiwemo ulinzi imara ili biashara za wawekezaji ziende kwa amani
pili amedhibitu majambazi huko pwani mpaka raha! maana yalikuwa yanatishia usalama!
ni hayo tu
Wapi huko mkuu?Hakuna kama makonda. Makonda ana weakness zake ila sehemu kubwa yupo vizuri. Mikoa mingine tulimtamani sana huyu makonda japo mwaka mmoja tu. Rais aliletee sisi huku ili watu wanyooke.
Unamaanisha yule Wema Sepenga? You can't be serious [emoji23][emoji23][emoji23]Bora ampe sam mahela au sepetu
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Le Mutuz au steve nyerere
...wakuu, hii ni prediction tu. Kwa tunaomfahamu Mkulu, vere suni anamtoa mkuku huyu Makonda. Makonda ameshindwa kujifunika kwa turubai na ameishia kujificha kwenye shamba la karanga au nyuma ya nguzo ya umeme.
Hivyo tutabiri, nani atakuwa mkuu wa mkoa mpya, na awe na sifa gani ili kuongoza vyema mkoa huu wenye changamoto nyingi na unaoongoza kwa kuliingizia taifa pato kubwa!!
Kwaheri kaka Makonda. The street is waiting for u. Kolomije wanakuandalia mapokezi makubwa!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwizi na tapeli, ndivyo alivyojipambanua Makonda mbele ya Rais wa nchi pamoja na watanzania kwa ujumla. Endeleeni kumpamba kwa maslahi yenu.Hakuna kama makonda. Makonda ana weakness zake ila sehemu kubwa yupo vizuri. Mikoa mingine tulimtamani sana huyu makonda japo mwaka mmoja tu. Rais aliletee sisi huku ili watu wanyooke.
Long live makonda wewe ni mfano wa kuigwa na uhakika your moving to another step, unatakiwa uwe waziri wala sio ukuu wa mkoa you deserve more
Sent using Jamii Forums mobile app