Nani anafaa kumrithi Makonda Dar es Salaam?

Nani anafaa kumrithi Makonda Dar es Salaam?

Hili ni swali tu ndugu zangu , wala halina uhusiano na jambo lingine lolote .

Ieleweke kwamba Mkoa wa DSM kama ilivyo mikoa mingine umeishaongozwa na Wakuu tofauti tofauti wa Mkoa , kwa uchache nitaweka majina kadhaa , Tukianza na Marehemu Kandoro , Marry Chipungahelo , Mecky Sadik , Yusuph Makamba na Ditopile Mzuzuri

Uongozi ni kama mbio za kupokezana vijiti , leo huyu kesho yule , hakuna kiongozi wa milele .

Pendekeza jina la umtakaye hata kama itafika miaka 15 ijayo .

Wakati si milele
MAKONDA NEVER DIE
 
mimi namsikiaga anasema mkoa wangu ngoja nikalalee

Huyu Makonda bhana huwa ana nyodo za ajabu sana....yaani yeye kila kitu ni mali yake:
  1. Utasikia MKOA wake wa DSM.
  2. Utasikia WANANCHI wake wa Mkoa wa DSM.
  3. Urtasikia WAALIMU WAKE wa Mkoa wa DSM.
  4. Utasikia POLISI WAKE wa mkoa wa DSM.
Wataalamu wa Saikolojia na Menejimenti ya Rasilimali watu wanasema ukikuta mtu anatumia sana UMIMI...kama MKOA WANGU, WANANCHI WANGU n.k. ujue si kiongozi mzuri kwa kifupi HE IS A MERE DICTATOR per ce...!!
 
Huyu Makonda bhana huwa ana nyodo za ajabu sana....yaani yeye kila kitu ni mali yake:
  1. Utasikia MKOA wake wa DSM.
  2. Utasikia WANANCHI wake wa Mkoa wa DSM.
  3. Urtasikia WAALIMU WAKE wa Mkoa wa DSM.
  4. Utasikia POLISI WAKE wa mkoa wa DSM.
Wataalamu wa Saikolojia na Menejimenti ya Rasilimali watu wanasema ukikuta mtu anatumia sana UMIMI...kama MKOA WANGU, WANANCHI WANGU n.k. ujue si kiongozi mzuri kwa kifupi HE IS A MERE DICTATOR per ce...!!
Aiseeee !!!!
 
Chonde Mtaka aendeleee kubaki Simiyu. Ule Mkoa wa mfano mpya na wa pembezoni. Amejitahidi.mno. Kuna mambo mengi na Mipango mingi itafaa aikamilishe kwanza Simiyu. Akihamishwa inaweza kuharibu Mipango mizuri kama RC mpya hataendeleza.
 
Back
Top Bottom