Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,086
- 6,568
Naona Wabunge wa CcM hasa wanaotoka maeneo yanayozalisha nguzo za umeme hasa Mkoa wa Iringa wanapiga kelele juu ya hii ishu.
Nani kaleta hili dili linalopigiwa kelele ambalo litasabaisha wananchi kutoaka maeneo haya kukosa kipato? ...
Nguzo za hapa nchini hazina ubora?
Nani kaleta hili dili linalopigiwa kelele ambalo litasabaisha wananchi kutoaka maeneo haya kukosa kipato? ...
Nguzo za hapa nchini hazina ubora?