Nanasi Lililoozea Ndani...

Nanasi Lililoozea Ndani...

acha nikutetea bestito
hivi kwanini mnamuwekaa eneo hilo nyeti ambalo mwenzenu
yeye si wa huko? hamjui kuwa huyu amebemendwa na kinda?
hamfahamu kuwa kitu kimtokacho mtu ndicho kimuingiacho?
sasa kwanini mnamlegeza mwenzenu sehemu isiyo husu?
hebu wewe mentor mtoe eneo hilo huyu si wa huko.

Hebu nitetee best yangu....
 
hadithi inasikitisha,,,,,,,,,,,,,,

ila tatizo kaugonjwa kenyewe ulipowekwa ni kimitego kimitego..........

Na kutumia ndom wakati mwingine hainogi.
 
....ahhh, Mentor umempaaamba huyo jamaa lakini 'pleya' gani anaogopa kuumia?
Amateur tu huyo, .....1st Aid ya "kwanza" ni kukimbilia kukoga
kama #JacobZuma vile...
 
Last edited by a moderator:
acha nikutetea bestito
hivi kwanini mnamuwekaa eneo hilo nyeti ambalo mwenzenu
yeye si wa huko? hamjui kuwa huyu amebemendwa na kinda?
hamfahamu kuwa kitu kimtokacho mtu ndicho kimuingiacho?
sasa kwanini mnamlegeza mwenzenu sehemu isiyo husu?
hebu wewe mentor mtoe eneo hilo huyu si wa huko.


eeeh....naona umeshusha dozi nzito sana...sasaaaaa...ule mpango wetu vipiiiiiiii
 
hadithi inasikitisha,,,,,,,,,,,,,,

ila tatizo kaugonjwa kenyewe ulipowekwa ni kimitego kimitego..........

Na kutumia ndom wakati mwingine hainogi.

Umeonaeee...mi chichemi!


....ahhh, Mentor umempaaamba huyo jamaa lakini 'pleya' gani anaogopa kuumia?
Amateur tu huyo, .....1st Aid ya "kwanza" ni kukimbilia kukoga
kama #JacobZuma vile...

#Dunia ni yako :nimekataa:😛ray::rant:Chaguo ni lako.

Kama ukioga unasafisha na #damu basi kakoge...mshikaji ali-panick! Hujawahi kusikia #ndege mjanja hunasa kwenye tundu #bovu.

Huyu Mentor anawaza ukimwi 24hrs.

Ni hatari sana

#najali ...wewe je?

eeeh....naona umeshusha dozi nzito sana...sasaaaaa...ule mpango wetu vipiiiiiiii

:shocked::shocked::shocked:

Unaniharibia mipango yangu....shhhhh....

Simulated Automated Breakthroughs....
Hahahahahahahahaha:tape:
 
Nimesoma hadi machozi yananitoka inasikitisha apewe moyo tu apime kwabza ndo atapata jibu la maswali aliyonayo moyoni.
 
Laaaluuuumbee.....!

Umenikumbusha mbali sana mnamo mwaka 2005 nilipohitimu kidato cha sitambeee nilienda Morogoro kumsabahi shangazi nikawa nimembebea vizawadi vya hapa na palembee, moja ya zawadi nilipofika msamvu nikakutana na maembe Dodo mazuri sana mpaka yakawa yanavutia kununua ndo nkajitosa nkachukua matano, kufika kwa shangazi nkapokewa na mbwembwe nyingi tu nkatengewa na chakula na matunda yakawa yanaandaliwa yanapooshwa nae shangazi akavutiwa na moja wapo akawa analikata ili tuanze kulila. Ile kukata tu kumbe kwenyekokwa lilikuwa lishaanza kuliwa na wadudu. Mada ikabadilika palepale embe likawa ndo mwanamke nimetoka nae huko ambaye kwa nje nimemwona mzuri kiumbile cjaenda cheki mengneyo nkaamua ku......!

Dah kiukweli ilikuwa siku mbaya kuliko zote mpaka leo hii kwangu, ila ni somo zuri kwa sisi vijana.
 
mpango gani tena bestito nimeshasahau?

tuna get together party tarehe 26 dec hivyo
jiandae kwani watu toka arusha watakuja dar.

eeeh....naona umeshusha dozi nzito sana...sasaaaaa...ule mpango wetu vipiiiiiiii
 
mara ya kwanza na ya pili ntavaa...kwasababu bado sijajidanganya kumfahamu
ila siku zikienda nikishajidanganya namuelewa..mmmmmmhh!! sijui hata inakuwaje
 
mpango gani tena bestito nimeshasahau?

tuna get together party tarehe 26 dec hivyo
jiandae kwani watu toka arusha watakuja dar.

Mpango ule wa kunipeleka kwa kaka yako Erickb52....hiyo get together itafanyikia ukumbi gani
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom