mwekundu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2013
- 22,477
- 21,023
Unadhani wanaogopa kwa sababu ya hii story?
Mwambie huyo...inzi kufia kwenye kidonda ndo zao!!
Unadhani wanaogopa kwa sababu ya hii story?
eeeh....naona umeshusha dozi nzito sana...sasaaaaa...ule mpango wetu vipiiiiiiii
Nakuona mzee ndo unataka kuchukua jiko mdogo mdogo!!
Mpango ule wa kunipeleka kwa kaka yako Erickb52....hiyo get together itafanyikia ukumbi gani
Nakuona mzee ndo unataka kuchukua jiko mdogo mdogo!!
nichukue mara ngapi.....
mbona kaka yangu Erickb52 niko naye hapa bongo na leo nimetoka kuongea naye kwa:cell:
kuhusu ukumbi tumepata ukumbi wa business park kijitonyama ila tutafutie ukumbi miwngine kwani huu sio mzuri kiihivyo bestito niPM basi
Mentor,
Mtambuzi, Asprin, Kaizer, Bazazi, KakaKiiza, Jiwe Linaloishi, Kipaji Halisi, Vin Diesel, TANMO na mabazazi wote...chungeni. Ikibidi sana hadi 'seal' itolewe kwa kinga.
BEWARE...AIDS IS REAL...
'Ugonjwa huu umekaa mahali Pabaya'.Ali Hassan Mwinyi
Mentor,Umesomkeka kwa nguvu ya TANO
Kwa kweli huna haja ya kulasimisha k#tomb@
Iwapo Mwanamke anakataa jaribu kutafuta sababu
Sababu ya kukataa kwake ilhali anakutamani
Sio kutumia POMBE kufanikisha matamanio yako
Mvumilivu hula mbivu ingawa ukizidi hula zilizooza
Ingawa ni heri kumkosa mwanamke huyo kuliko kulazimisha
Kwanza wako wagapi Mentor?
Mbona wengi tu kina Kongosho, noella, cacico, Madame B etc.
TAKE CARE AIDS/SIDA/UKIMWI UPO JIRANI YAKO UNATEMBEA SAMBAMBA NAWE.
Bazazi ni Bazazi
Hii stori umenifanya nimkumbuke jamaa yangu fulani...
Hii story imenikumbusha mabinti wawili walizaliwa hivyo wazuri sana kila nikiwaangalia nawaza vijana watakapo waona wanaweza kujizuia/kukataa...juzi napata taarifa mmoja amefariki inasikitisha
This comment has to go kwa hansard as the best ever comment from Bazazi.
Tell us mkuu Tuko. Whats th story? Pengine watu. Wataamini...
Cc: mwekundu..mkidhani nimetunga yangu msikilize Blaki Womani uishi maisha marefu mwanafunz wangu.
'Ugonjwa huu umekaa mahali Pabaya'.Ali Hassan Mwinyi
Asee huyu Heaven on Earth yupo kipande gani? naomba uniitie tafadhali
Eti mamii huyo daktari anapatikana wapi. Kuna kabinti huku ndani nataka anisaidie kukapimamo. Ukaguzi umekuwa mgumu sana kwa haka kabinti.