ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,729
- 34,830
Mwaigwisya ndio sijui yukowapi?Ndiyo,alifariki ghafla,aisee alikua bonge la ticha hasa kwenye language two... R.I.P
Mwaigwisya ndio sijui yukowapi?Ndiyo,alifariki ghafla,aisee alikua bonge la ticha hasa kwenye language two... R.I.P
Huyo hata mimi sijui kwakweli.Mwaigwisya ndio sijui yukowapi?
NipasheGwimz alikua anafundisha Kiswahili bhana,alitakaga kunitapeli ada.... duuh! nikamchoma kwa mama wa CCM,alijitetea kinoma.
Sijui hata yuko wapi huyu Gwimz... ni stori ndefu,ali-apolojaizi kwa yule mama,akani-rifandi,yakaisha.....Nipashe
Anaishi Dar huyu ticha. Alinifundisha hisabati O levelMwaigwisya ndio sijui yukowapi?
Hata mimi alinifundisha hilo somo 0 level, pia aliwahi nipa adhabu ya kuchimba shimo but Dar yuko wapi nimtafute nile nae kabia na nyamaAnaishi Dar huyu ticha. Alinifundisha hisabati O level
Enzi hizo 2002 kurudi nyuma wahindi walikuwa wanahesabika tena ni mchanganyiko wahindi wasomali waarabu walikuwepo wa kuhesabika akina Faisal,Jambek.AridMeta Sec Saizi inapumulia mipira, miaka ya 2008 kushuka chini Ilikuwa na wanafunzi wengi balaa. Kuna watoto wa Kihindi walikuwa wanaenda shule na magari
Enzi hizo 2002 kurudi nyuma wahindi walikuwa wanahesabika tena ni mchanganyiko wahindi wasomali waarabu walikuwepo wa kuhesabika akina Faisal,Jnn
Nadhani shule karibia zote za jumuia ya wazazi,zinazidi kuporomoka,siasa zinachangia pia.Meta Sec Saizi inapumulia mipira, miaka ya 2008 kushuka chini Ilikuwa na wanafunzi wengi balaa. Kuna watoto wa Kihindi walikuwa wanaenda shule na magari
Nakutafutia namba bro Ras, nitakuchekiHata mimi alinifundisha hilo somo 0 level, pia aliwahi nipa adhabu ya kuchimba shimo but Dar yuko wapi nimtafute nile nae kabia na nyama
Nitashukuru sana mkuuNakutafutia namba bro Ras, nitakucheki
Haswaa huyo ndiye landi mtaalam wa chemistry
Dah, noma kweli...Mageta kanifundisha commerce advance pale Meta,Mwasalanga AccountancyMbona hujamtaja john Mageta?
Acha masihara bana. Yule mwalimu wangu wa chemistry amefariki?!Landi pia amefariki wiki hii nadhani leo ndio amezikwa
YaahAcha masihara bana. Yule mwalimu wangu wa chemistry amefariki?!
Aisee so amezikwa wapi!??Yaah
Ndio. Kazikwa Juzi. Msiba upo kwake Ikuti nyuma ya TAZARA MbeyaAcha masihara bana. Yule mwalimu wangu wa chemistry amefariki?!
Daah alale pema peponi mzee wa Bunsen Burner.Ndio. Kazikwa Juzi. Msiba upo kwake Ikuti nyuma ya TAZARA Mbeya