Mgirik
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 13,271
- 13,428
Jamani kama kichwa kinavyoieleza.
Namtafuta mwalimu mtefu mara ya mwisho nmeachana naye 2010 mwezi January yeye alikuwa anafundisha Meta sec school pale Mbeya somo la history.
Naomba kwa yeyote anayejua alipo au mwenye mawasiliano yake naomba anijuze.
Asanteni nawatakieni mabadiliko mema.
Namtafuta mwalimu mtefu mara ya mwisho nmeachana naye 2010 mwezi January yeye alikuwa anafundisha Meta sec school pale Mbeya somo la history.
Naomba kwa yeyote anayejua alipo au mwenye mawasiliano yake naomba anijuze.
Asanteni nawatakieni mabadiliko mema.