Duuh jamani kuna kijana anaitwa Nasibu Mdemu yeye alikuwa form two akichezea timu ya shule ya football namba 8 mwaka 1996/7 amefariki leo kipawa wanaoweza kwenda wawasiliane no. 0713211979 Rajabu. Huyo alikuwa anaishi hostel, tunaomba mtuwakilishe sisi tulio nje ya nchi.
