Namtafuta Mwalimu Mtefu wa Meta Secondary, Mbeya

Namtafuta Mwalimu Mtefu wa Meta Secondary, Mbeya

Hahahaa Gwimile daah!! Mfupi hivi..
Mfupi ndio sijui yuko wapi... aisee yule alikuwa hana muda na mtu....

Sijui mara hujavaa scarf mara sketi fupi hata hana muda ila wanoko wengine sasa khaaa..
 
Msisahau mwalim kabuje pia naye alikuwa vyema kwenye history hasa kwa o level
Huyo Kabuje naye ni marehemu. Kumbe wa Meta tuko wengi sana humu, ingawa sisi wengine tumehitimu pale mwanzoni sana mwa 1990.
 
Dah ni hatari, kumbe hawa walimu walikaa muda mrefu pale, Mi nimepiga advance pale 2010-2012 na hao wote nimewakuta, ila hostel alikua Nwl Maijo (ana matusi balaa). Mtefu(R.i.p) nilimwacha pale. Na akina Landi, Mwakyububu, pia Mng'ong'o (R.i.p) nilimuacha. Mageta na Njegite. Mageta akiwa 2nd master na Njegite akiwa Head Master. Hadi naondoka 2012 Mtindo wa Gate pass ulikuepo kama kawa na kufyatua tofali, kung'oa visiki, kuzibua vyoo hizo ziliendelea kuwa adhabu za muda wote pale.

Simwaba na Language yake pia nilimuacha, chips za califonià kama kawa walaji waliendelea kujigongea.

Wale wa Hostel Idi simba kubwa iliendelea kuwa nyumba ya burudani siku za welcome form 5, na weekend days kwa ajili ya movie.

Bwalo la chakula liliendelea kuwa shida badala yake watu walilia chakula mabwenini au kwenye viunga pale kwenye masanamu ya wanyama.
 
Alikuwa mwalimu wa Nidham gari moshi daah!! Kitambo mnoo.. Way back 2001 namaliza olevel pale..
Achana na hiyo namba MWAKYULU aisee na alikuwa mkali balaa na neno lake "SENJE WE" Alikiwa anapenda sana kulitumia bt R.I.P Mtefu ndo alikuwa akitumika sana kuchapa viboko parade kwa wale wenye makosa aisee ila kuna jembe linguni lilikuwa linaitwa MWL.MWAKA aisee lilikuwa ni noma lile jamaa kwa totoz aisee tena vident bt alitolewa pale by 2002 hivi.
 
Achana na hiyo namba MWAKYULU aisee na alikuwa mkali balaa na neno lake "SENJE" Alikiwa anapenda sana kulitumia bt R.I.P Mtefu ndo alikuwa akitumika sana kuchapa viboko parade kwa wale wenye makosa aisee ila kuna jembe linguni lilikuwa linaitwa MWL.MWAKA aisee lilikuwa ni noma lile jamaa kwa totoz aisee tena vident bt alitolewa pale by 2002 hivi.
Kuna tozi moja alikua anafundiasha civics olevel anaitwa Mpwiniza hivi naye bado yupo? Meta lilikuwa chama sana.. Daah!!
 
Kuna tozi moja alikua anafundiasha civics olevel anaitwa Mpwiniza hivi naye bado yupo? Meta lilikuwa chama sana.. Daah!!
Hahahaaaaaa kwajina lingine alikuwa anaitwa MASTER alikuwa vizur sana kwenye karate nadhan atakuwepo aisee ni miaka mingi sana bila kumsahau SANGA mzee wa jeans kuanzia suruali shati hadi koti
 
Hahahaaaaaa kwajina lingine alikuwa anaitwa MASTER alikuwa vizur sana kwenye carate nadhan atakuwepo aisee ni miaka mingi sana bila kumsahau SANGA mzee wa jeans kuanzia suruali shati hadi koti
Hahahs Master ndio.. Alikuwa anacheza karate.. Daah!! Meta ile sijui leo ikoje.
 
Hahahs Master ndio.. Alikuwa anacheza karate.. Daah!! Meta ile sijui leo ikoje.
Aisee sijui sasa yupo ama laah bt nadhan atakuwepo coz sidhan kama kafikisha umri wa kustaafu yule mcheza karate aisee kitambo sambo sana na mwenzie mwaigisya wa math. Maana hata ofis zao zilikuwa kule chini madarasa ya form one na two chini ya idi simba karibu na maabara ya bios ,aisee nimekumbuka mbali sana thnx muanzisha mada ingawa kupitia uzi huu nimepata habar za masikitiko kutokana na vifo mtefu,kabuje aisee
 
Daah!! ZIMBA mzee wa tofali yupo bado? Kjna wakati hua nataman siku zirud nyuma.
 
Mageta alikua second master,alikua mkali balaa,sijui bado yupo pale?
Ha ha mageta nilimsahau kabisa aisee,huyu mwakyulu nadhan alikuwa anafundisha Economics sie tulikuwa tunamwita gari moshi sababu ya kuvuta sigara kila wakati,hivi mageta c ndio walikuwa wanamwita chimpanzee?? Alikuwa ni Academic master au nimesqhau?
 
Hahahaaaaaa kwajina lingine alikuwa anaitwa MASTER alikuwa vizur sana kwenye karate nadhan atakuwepo aisee ni miaka mingi sana bila kumsahau SANGA mzee wa jeans kuanzia suruali shati hadi koti
Hivi huyu Sanga alikuwa anafundisha kiswahili hasa fasihi et ee?
 
Back
Top Bottom