MankaM
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 9,448
- 3,070
Mfupi ndio sijui yuko wapi... aisee yule alikuwa hana muda na mtu....Hahahaa Gwimile daah!! Mfupi hivi..
Sijui mara hujavaa scarf mara sketi fupi hata hana muda ila wanoko wengine sasa khaaa..




Mfupi ndio sijui yuko wapi... aisee yule alikuwa hana muda na mtu....Hahahaa Gwimile daah!! Mfupi hivi..




Huyo Kabuje naye ni marehemu. Kumbe wa Meta tuko wengi sana humu, ingawa sisi wengine tumehitimu pale mwanzoni sana mwa 1990.Msisahau mwalim kabuje pia naye alikuwa vyema kwenye history hasa kwa o level
Daaah,mmenikumbusha mbali sanatutakumbushana had miogo ya karifonia
Ilikuwa inaboa vibaya sana. Sikuipenda hii adhabu kwa kweliAhahaha enzi hizo adhabu ilikuwa kufyatua tofali
Kuna shule nyingi sana hao walimu wawili wamefundisha, mfano mie cjasoma metaDuh!! Shule gani hii wote mknimep
Duh!! Shule gani hii wote mko humu??
Achana na hiyo namba MWAKYULU aisee na alikuwa mkali balaa na neno lake "SENJE WE" Alikiwa anapenda sana kulitumia bt R.I.P Mtefu ndo alikuwa akitumika sana kuchapa viboko parade kwa wale wenye makosa aisee ila kuna jembe linguni lilikuwa linaitwa MWL.MWAKA aisee lilikuwa ni noma lile jamaa kwa totoz aisee tena vident bt alitolewa pale by 2002 hivi.Alikuwa mwalimu wa Nidham gari moshi daah!! Kitambo mnoo.. Way back 2001 namaliza olevel pale..
Kuna tozi moja alikua anafundiasha civics olevel anaitwa Mpwiniza hivi naye bado yupo? Meta lilikuwa chama sana.. Daah!!Achana na hiyo namba MWAKYULU aisee na alikuwa mkali balaa na neno lake "SENJE" Alikiwa anapenda sana kulitumia bt R.I.P Mtefu ndo alikuwa akitumika sana kuchapa viboko parade kwa wale wenye makosa aisee ila kuna jembe linguni lilikuwa linaitwa MWL.MWAKA aisee lilikuwa ni noma lile jamaa kwa totoz aisee tena vident bt alitolewa pale by 2002 hivi.
Hahahaaaaaa kwajina lingine alikuwa anaitwa MASTER alikuwa vizur sana kwenye karate nadhan atakuwepo aisee ni miaka mingi sana bila kumsahau SANGA mzee wa jeans kuanzia suruali shati hadi kotiKuna tozi moja alikua anafundiasha civics olevel anaitwa Mpwiniza hivi naye bado yupo? Meta lilikuwa chama sana.. Daah!!
Hahahs Master ndio.. Alikuwa anacheza karate.. Daah!! Meta ile sijui leo ikoje.Hahahaaaaaa kwajina lingine alikuwa anaitwa MASTER alikuwa vizur sana kwenye carate nadhan atakuwepo aisee ni miaka mingi sana bila kumsahau SANGA mzee wa jeans kuanzia suruali shati hadi koti
Aisee sijui sasa yupo ama laah bt nadhan atakuwepo coz sidhan kama kafikisha umri wa kustaafu yule mcheza karate aisee kitambo sambo sana na mwenzie mwaigisya wa math. Maana hata ofis zao zilikuwa kule chini madarasa ya form one na two chini ya idi simba karibu na maabara ya bios ,aisee nimekumbuka mbali sana thnx muanzisha mada ingawa kupitia uzi huu nimepata habar za masikitiko kutokana na vifo mtefu,kabuje aiseeHahahs Master ndio.. Alikuwa anacheza karate.. Daah!! Meta ile sijui leo ikoje.
Ha ha mageta nilimsahau kabisa aisee,huyu mwakyulu nadhan alikuwa anafundisha Economics sie tulikuwa tunamwita gari moshi sababu ya kuvuta sigara kila wakati,hivi mageta c ndio walikuwa wanamwita chimpanzee?? Alikuwa ni Academic master au nimesqhau?
Gwimile anayefundsha hstory?
Ndiyo,alifariki ghafla,aisee alikua bonge la ticha hasa kwenye language two... R.I.PSimwaba nae nasikia alifariki
Hivi huyu Sanga alikuwa anafundisha kiswahili hasa fasihi et ee?Hahahaaaaaa kwajina lingine alikuwa anaitwa MASTER alikuwa vizur sana kwenye karate nadhan atakuwepo aisee ni miaka mingi sana bila kumsahau SANGA mzee wa jeans kuanzia suruali shati hadi koti