Namtafuta Mwalimu Mtefu wa Meta Secondary, Mbeya

Namtafuta Mwalimu Mtefu wa Meta Secondary, Mbeya

mtefu mwee kumbe alifariki yule (my dear bottle)... jaman alikuwa anafundisha majibu tu usipokuepo shaur yako.. [emoji22][emoji22][emoji22]

Mng'ong'o yule mzee pia kafariki??? Khaaa jaman daaa... [emoji22][emoji22][emoji22]

Ila kimatale na nikikumbuka zile tofali khaaa sina hamu. Hata hivyo alikuwa mbishi kama nini ashapataga kashfa hajui kufundisha weee idd simba kuliwaka moto sio kwa fimbo zilee [emoji22][emoji22][emoji22] akasema wote mtafeli phonology .... ila yule mzee ndio maana hana mwili sijui saiv kama amenenepa
Mwl mtefu akikuwa kiboko ya history two amenifundisha form five na six nikiwa nasoma Lutengano high school..

Alikuwa anapiga sana maji na kitimoto na alikuwa Mzee Wa totoz balaa..

Imeniuma sana mtefu[emoji24] [emoji24] [emoji24]
 
Hivi Landi c ndio alikuwa anakaa pale nje ya get kny kijumba karibu na hostel ya frm six wavulana?..mnamkumbuka baba Joshua? Na yule muuza chips wa forest kule karibu na kadeghe anaitwa Anania alikuwa anatuuzia chips maini
Haswaa huyo ndiye landi mtaalam wa chemistry
 
Duh!! Shule gani hii wote mko humu??
Mkuu yule jamaa alikuwa anafundisha shule ya meta pale mbeya ila jamaa kutokana na kuwa kichwa alikuwa na shule zaidi ya saba ambazo alikuwa anafundisha part-time..

Mm nine fundishwa naye part-time
 
Mkuu yule jamaa alikuwa anafundisha shule ya meta pale mbeya ila jamaa kutokana na kuwa kichwa alikuwa na shule zaidi ya saba ambazo alikuwa anafundisha part-time..

Mm nine fundishwa naye part-time
Nimekupata mkuu ndio maana ni maarufu
 
Mtefu alikuwa maarufu meta na mbalizi road yote. Aliwahi kuwa jirani yangu kipindi nasoma mapinduzi shule ya msingi
 
Mtefu alikuwa mshkaji wangu sana kwenye kupiga lager na darasani akiamua kukubadilikia anakubadilikia.Dah!R.I.P mwalimu wangu wa History-two.
 
Msisahau mwalim kabuje pia naye alikuwa vyema kwenye history hasa kwa o level
 
Mageta yule alishaga ninyima kipande system sikulipa ada mweee maisha haya[emoji22][emoji22][emoji22]
Haha umenikumbushaa mbaali sana kipande...haha!!!

Kweli watu walishindwa foji kweli ka muhuri na kile ki gate pass!!!
 
Haha umenikumbushaa mbaali sana kipande...haha!!!

Kweli watu walishindwa foji kweli ka muhuri na kile ki gate pass!!!
We acha tu maisha haya jaman... yan nilikuwa nakosa amani from ilomba nifike afu sina kipande daaa unatamani kulia ujue... na kimatale na push up zake khaaa waliniweza....kuna siku natangazwa assemble nina tofali 100 yeuwiii nilihisi kuacha shule... ila kuna ticha gwimile aliniteteaje....
 
Ile meta ilikuwa tamu sana enzi za kuingia na card getini.. Sijui nowdayz mambo yakoje aisee,,,
Mn'gong'o yule mzee na urefu wake ka anataka kudondoka roho mbayaaa sema vile keshakuwa marehemu... r.i.p
 
We acha tu maisha haya jaman... yan nilikuwa nakosa amani from ilomba nifike afu sina kipande daaa unatamani kulia ujue... na kimatale na push up zake khaaa waliniweza....kuna siku natangazwa assemble nina tofali 100 yeuwiii nilihisi kuacha shule... ila kuna ticha gwimile aliniteteaje....
Hahahaa Gwimile daah!! Mfupi hivi..
 
Back
Top Bottom