Namtafuta Mwalimu Mtefu wa Meta Secondary, Mbeya

Namtafuta Mwalimu Mtefu wa Meta Secondary, Mbeya

Daah alale pema peponi mzee wa Bunsen Burner.
One day Mungu akinibariki nikija Mbeya nitajitahidi nifike home kwake na kaburini kwake.
Umesema nyuma ya Tazara. Nitajaribu kuuliza sijui kama anafahamika sana huko!?
Anafahamika. Ukiuliza utaelekezwa. Halafu we jamaa kama ndio Ras Jeff wa Mbeya ulichafua sana kuta za mji miaka ya 1990s katikati
 
Nawakumbuka sana walimu wa meta enzi hizo,mtefu,kabuje(mwl wa hostel),job,mwigune,kimatare(ndege John,Mwakyulu(gari moshi),Mwahuti(kibaki)..boyfriend (huyu alikuwa mwl wa physical geography),katamba,babu wa GS,(ha ha ha stand up u foolish woman,.....enz ya kina njegite badae bukuku na yule head girl wetu wa kinyarwanda.
Umemsahau Kitokesya Mzee wa vocabularies wa history watu A level combi za H nini nini huko
 
Naijua mitaa yote hiyo. RFA kwa Mzee Tousir kwa kina Abedi yep sure kilikuwa kituo cha Redio but ww utakuwa nani navuta code ukinitajia exactly eneo ulilokuwa unakaa au rafiki yako wa karibu nitakusoma
Mitaa ya chini kwa Meghji yule mhindi kwa kina Mwabulambo mpaka kwa Advocate nyumba aliyokuwa anakaa Balozi Katanga Kipindi anafanya Manispaa.
 
Mitaa ya chini kwa Meghji yule mhindi kwa kina Mwabulambo mpaka kwa Advocate nyumba aliyokuwa anakaa Balozi Katanga Kipindi anafanya Manispaa.
Mwabulambo unamaanisha kwa kina marehemu Daudi Mwabulambo nyumbani kwao kulikuwa na kituo cha UMATI
mtaa wa chini...ule ulikuwa na mashine za kusaga za Mzee Materu!!??
 
Mwabulambo unamaanisha kwa kina marehemu Daudi Mwabulambo nyumbani kwao kulikuwa na kituo cha UMATI
mtaa wa chini...ule ulikuwa na mashine za kusaga za Mzee Materu!!??
Ndio,mitaa hiyo nyumba za chini inaanza ya Mama aliyekuwa Mahakama kuu inafatiwa ya Meghji kwa kina Salim&Salma mzee wao alikuwa na Land Rover 90 ya Kijani
 
Back
Top Bottom