Namtafuta Mwalimu Mtefu wa Meta Secondary, Mbeya

Namtafuta Mwalimu Mtefu wa Meta Secondary, Mbeya

Naijua mitaa yote hiyo. RFA kwa Mzee Tousir kwa kina Abedi yep sure kilikuwa kituo cha Redio but ww utakuwa nani navuta code ukinitajia exactly eneo ulilokuwa unakaa au rafiki yako wa karibu nitakusoma
Ile barabara kuelekea RFA inatoka Meta stendi barabara ya hostel Magoma khaa enzi hizo
 
Back
Top Bottom