FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,911
- 109,274
Acha mambo yako weye. Ati kila mtu hapa jamvini anajifanya oooh ulivyopigwa ban mimi nikakuombea uachiwe. Halafu wewe inaelekea ni pedophile wa kufa mtu. Haiwezekani uwe unanipenda kijana mdogo kama miee. Kwanini usifuate wazee wenzio kina Nyani
Contradiction, amuwa wewe ama ni "pedo" ama ni "kijana". Huwezi kuwa na yote mawili.