Nesi mkunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2022
- 701
- 1,849
Hii dunia inakera sana na kuchukiza kuna mambo yananipa stress sana yaani nikiona mijitu mikubwa inatumia smatphone halafu ukimkaribia zaifi anatumia hayo midosho au mabomu ya kichina Tecno,infinix na itel yaani nakerekwa mpaka natamani nitapike ๐๐๐๐
Hizi sio simu ni bomu aisee jana mwana mmoja ali king nusura zimlipukie na bwana Mshana jana zimemlipukia aiseee yaaani sio poa kabisa hizi simu zinakera
Sirikali fanyeni juu chini mpige chini matumizi ya haya mabomu ya kichina aisee yataua watu huku mtaani halafu ubaya hata wauza gongo au pombe za matapu tapu anamiliki smatphone kuangalia infinix,Tecno au itel ujinga mtupu
Hata wapiga debe wa shekilango au mbezi eti nao wanatumia smatphone huu ni uozo kabisa na upuuzi mtupu
:Thread posted by Samsung note 10 plus:
Hizi sio simu ni bomu aisee jana mwana mmoja ali king nusura zimlipukie na bwana Mshana jana zimemlipukia aiseee yaaani sio poa kabisa hizi simu zinakera
Sirikali fanyeni juu chini mpige chini matumizi ya haya mabomu ya kichina aisee yataua watu huku mtaani halafu ubaya hata wauza gongo au pombe za matapu tapu anamiliki smatphone kuangalia infinix,Tecno au itel ujinga mtupu
Hata wapiga debe wa shekilango au mbezi eti nao wanatumia smatphone huu ni uozo kabisa na upuuzi mtupu
:Thread posted by Samsung note 10 plus: