Nampenda sana Mwita25

Mwita25

JF-Expert Member
Apr 15, 2011
3,831
1,164
Ndiyo manake! Kwani nani kasema mtu kujipenda mwenyewe ni dhambi? Ni upuuzi sana kuona mwanamke anaanzisha thread za kumpenda FF kila siku bila hata sababu za msingi na kutuacha wanaume watanashati kama mimi. Huyo FF mwenyewe nasikia ni bibi kizee wa kutupwa na hafai hata kuwekwa ndani. Upuuzi mtupu.
 
Ndiyo manake! Kwani nani kasema mtu kujipenda mwenyewe ni dhambi? Ni upuuzi sana kuona mwanamke anaanzisha thread za kumpenda FF kila siku bila hata sababu za msingi na kutuacha wanaume watanashati kama mimi. Huyo FF mwenyewe nasikia ni bibi kizee wa kutupwa na hafai hata kuwekwa ndani. Upuuzi mtupu.

Kwahivyo wewe kinachokukera ni ile fact ya kwamba hizo nakupenda anaambiwa mtu mwingine na sio wewe...hahhahaa...mwanaume shababi hawezi akakaa na kuanzisha thread kama hii kwakweli!! Na kwanini FF na si mwingine..ukiona hivyo ana kitu cha ziada humu JF ambacho kinawapendezea watu kwanin mtu asi-express hisia zake juu yake....Mmmmmh,una lako jambo!!
 
Kwahivyo wewe kinachokukera ni ile fact ya kwamba hizo nakupenda anaambiwa mtu mwingine na sio wewe...hahhahaa...mwanaume shababi hawezi akakaa na kuanzisha thread kama hii kwakweli!! Na kwanini FF na si mwingine..ukiona hivyo ana kitu cha ziada humu JF ambacho kinawapendezea watu kwanin mtu asi-express hisia zake juu yake....Mmmmmh,una lako jambo!!

Ndiyo nimeshajianzishia sasa. Hili litakuwa pigo kubwa sana kwa FF
 
Nilikuja haraka kwa nia ya kusema kua hata mimi nampenda Mwita25 ila nimekata tamaa baada ya kuona kumbe umeanzisha mada ya kujipenda (nimefurahia) huku unamponda member mngine (hii sijafurahia). Kwa hio naondoka bila kusema!
 
Mimi Huwa nampenda Mwita25 kwa sababu hua namhesabu kuwa katika watoto Watukutu yeye humu ndani ya Jamii Forums ndio kiongozi wao tehetehteh na hayo macho yake utafikiri mtoto aliye kanyagwa tumboni.......
 
Mimi nikisema nampenda Mdada fulani,
Ukweli sina shida ingine zaidi ya kumpenda kwa ajili ya kuliwazana nae tu kunako 6X6, hakuna kingine.
Sasa wewe Mwita unajipenda kwa ajili ya "Self-Service"??
 
mimi nimefungua hapa kushitaki kwa mods kwamba mwita kaanzisha ID nyingine ya tatu,lakini nilipoikuta ya ID ya kwanza ngoja niwe mpore.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom