Nampenda sana Mwita25

Kwahivyo wewe kinachokukera ni ile fact ya kwamba hizo nakupenda anaambiwa mtu mwingine na sio wewe...hahhahaa...mwanaume shababi hawezi akakaa na kuanzisha thread kama hii kwakweli!! Na kwanini FF na si mwingine..ukiona hivyo ana kitu cha ziada humu JF ambacho kinawapendezea watu kwanin mtu asi-express hisia zake juu yake....Mmmmmh,una lako jambo!!
:lol::lol::lol:
 
Mimi Huwa nampenda Mwita25 kwa sababu hua namhesabu kuwa katika watoto Watukutu yeye humu ndani ya Jamii Forums ndio kiongozi wao tehetehteh na hayo macho yake utafikiri mtoto aliye kanyagwa tumboni.......

amerithi mikoba ya mtoto Yo yo
 
Ndiyo manake! Kwani nani kasema mtu kujipenda mwenyewe ni dhambi? Ni upuuzi sana kuona mwanamke anaanzisha thread za kumpenda FF kila siku bila hata sababu za msingi na kutuacha wanaume watanashati kama mimi. Huyo FF mwenyewe nasikia ni bibi kizee wa kutupwa na hafai hata kuwekwa ndani. Upuuzi mtupu.

​Mura, hiyo imekaa kimombasamombasa, ebu fafanua zaidi.
 
Nakumbuka niliwahi kuwauliza Mods kwamba hapa Jf hapauzwi pombe ? Kwa maana mie nna "Jini Makatta" halikubaliani na pombe! Nikahakikishiwa kua pombe hapa prohibited! That's why nika'join, hata hivyo nashangaa kuona membars wamelewa wako bwii ! Nahisi bado pombe humu inauzwa kwa siri ! Tena asubuhi hivi looh !
 
Nakumbuka niliwahi kuwauliza Mods kwamba hapa Jf hapauzwi pombe ? Kwa maana mie nna "Jini Makatta" halikubaliani na pombe! Nikahakikishiwa kua pombe hapa prohibited! That's why nika'join, hata hivyo nashangaa kuona membars wamelewa wako bwii ! Nahisi bado pombe humu inauzwa kwa siri ! Tena asubuhi hivi looh !

Hiyo pombe inanywewa kupitia chupa zinazoitwa keypads bila shaka. Wahudumu ni FF, Mamdenyi, Miss Malaika na Husninyo. Meneja wa baa ni Ritz akisaidiwa na kaka yake Rejao. Walinzi wa mali na usalama wa raia wanaokunywa ni Figganigga, Rev. Masanilo na Nyani Ngabu.
 
Ndiyo manake! Kwani nani kasema mtu kujipenda mwenyewe ni dhambi? Ni upuuzi sana kuona mwanamke anaanzisha thread za kumpenda FF kila siku bila hata sababu za msingi na kutuacha wanaume watanashati kama mimi. Huyo FF mwenyewe nasikia ni bibi kizee wa kutupwa na hafai hata kuwekwa ndani. Upuuzi mtupu.

Mama yako ni kijana? unampenda au humpendi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom